Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Feb 13, 2021 #90,721 Grahams said: Ndiyo nimeanza safari ya kuogelea kuja huko Zanzibar, huenda nikafika baada ya siku 14πππ Click to expand... Make shua maua na nguo za kuvaa jion havilowani tafwadhali
Grahams said: Ndiyo nimeanza safari ya kuogelea kuja huko Zanzibar, huenda nikafika baada ya siku 14πππ Click to expand... Make shua maua na nguo za kuvaa jion havilowani tafwadhali
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Feb 13, 2021 #90,722 Mshana Jr said: Guu la ankal Click to expand... Ankal dadako ana damu kali mno.kaniambukiza mguu,ufupi na weusi πππ
Mshana Jr said: Guu la ankal Click to expand... Ankal dadako ana damu kali mno.kaniambukiza mguu,ufupi na weusi πππ
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,903 Reaction score 57,684 Feb 13, 2021 #90,723 Chakorii said: Make shua maua na nguo za kuvaa jion havilowani tafwadhali Click to expand... Nguo na maua nimezihifadhi kwenye wallet, utanimbia zinapatikana duka gani twende tukachanje kulipia.
Chakorii said: Make shua maua na nguo za kuvaa jion havilowani tafwadhali Click to expand... Nguo na maua nimezihifadhi kwenye wallet, utanimbia zinapatikana duka gani twende tukachanje kulipia.
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Feb 13, 2021 #90,724 Grahams said: Kumbe 36/37 nilivyoona mguu wa bia hivyo nilidhani labda ungekuwa umavaa 39/40. Click to expand... Niwe mfupi halafu miguu iwe mirefu huoni kama utakuwa ulemavu huoπππππ
Grahams said: Kumbe 36/37 nilivyoona mguu wa bia hivyo nilidhani labda ungekuwa umavaa 39/40. Click to expand... Niwe mfupi halafu miguu iwe mirefu huoni kama utakuwa ulemavu huoπππππ
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Feb 13, 2021 #90,725 Grahams said: Nguo na maua nimezihifadhi kwenye wallet, utanimbia zinapatikana duka gani twende tukachanje kulipia. Click to expand... Tafadhali naomba uitunze Hiyo wallet kuliko roho yako isidumbukie baharini
Grahams said: Nguo na maua nimezihifadhi kwenye wallet, utanimbia zinapatikana duka gani twende tukachanje kulipia. Click to expand... Tafadhali naomba uitunze Hiyo wallet kuliko roho yako isidumbukie baharini
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,903 Reaction score 57,684 Feb 13, 2021 #90,726 Chakorii said: Niwe mfupi halafu miguu iwe mirefu huoni kama utakuwa ulemavu huoπππππ Click to expand... Hivi kumbe kuna uhusiano wa urefu wa mwili na miguu. Mbona Mimi ni vice versa, mguu 43. Ngoja nihakiki kimo changu
Chakorii said: Niwe mfupi halafu miguu iwe mirefu huoni kama utakuwa ulemavu huoπππππ Click to expand... Hivi kumbe kuna uhusiano wa urefu wa mwili na miguu. Mbona Mimi ni vice versa, mguu 43. Ngoja nihakiki kimo changu
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,947 Reaction score 831,474 Feb 13, 2021 Thread starter #90,727
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,903 Reaction score 57,684 Feb 13, 2021 #90,728 Chakorii said: Tafadhali naomba uitunze Hiyo wallet kuliko roho yako isidumbukie baharini Click to expand... Usijali mrembo, nataka utumie hadi nikose nauli ya kurudi ππ
Chakorii said: Tafadhali naomba uitunze Hiyo wallet kuliko roho yako isidumbukie baharini Click to expand... Usijali mrembo, nataka utumie hadi nikose nauli ya kurudi ππ
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Feb 13, 2021 #90,729 Grahams said: Hivi kumbe kuna uhusiano wa urefu wa mwili na miguu. Mbona Mimi ni vice versa, mguu 43. Ngoja nihakiki kimo changu Click to expand... Hebu jihakiki uje uniambie urefu ni ngapi unao
Grahams said: Hivi kumbe kuna uhusiano wa urefu wa mwili na miguu. Mbona Mimi ni vice versa, mguu 43. Ngoja nihakiki kimo changu Click to expand... Hebu jihakiki uje uniambie urefu ni ngapi unao
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,903 Reaction score 57,684 Feb 13, 2021 #90,730 Chakorii said: Hebu jihakiki uje uniambie urefu ni ngapi unao Click to expand... Nitakuja huko Zenj na tape measure kabisa
Chakorii said: Hebu jihakiki uje uniambie urefu ni ngapi unao Click to expand... Nitakuja huko Zenj na tape measure kabisa
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Feb 13, 2021 #90,731 Grahams said: Usijali mrembo, nataka utumie hadi nikose nauli ya kurudi ππ Click to expand... Sio kukutumia tu..bali nakutoa upepo kabisa..ushindwe kuhema
Grahams said: Usijali mrembo, nataka utumie hadi nikose nauli ya kurudi ππ Click to expand... Sio kukutumia tu..bali nakutoa upepo kabisa..ushindwe kuhema
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Feb 13, 2021 #90,732 Grahams said: Nitakuja huko Zenj na tape measure kabisa Click to expand... ππππimeisha hiyo
Grahams said: Nitakuja huko Zenj na tape measure kabisa Click to expand... ππππimeisha hiyo
Darmian JF-Expert Member Joined Oct 1, 2017 Posts 17,297 Reaction score 46,755 Feb 13, 2021 #90,733 Lizzy said: itasaidia??? Click to expand... Yaah..itasaidia sana
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,903 Reaction score 57,684 Feb 13, 2021 #90,734 Chakorii said: Sio kukutumia tu..bali nakutoa upepo kabisa..ushindwe kuhema Click to expand... Mungu wangu, tafadhali weweπ π π Usinifanye hela zangu ziishe hadi niingie benki ya watu wa Zanzibar kukopa nauli. Itakuwa aibu ya Karne π
Chakorii said: Sio kukutumia tu..bali nakutoa upepo kabisa..ushindwe kuhema Click to expand... Mungu wangu, tafadhali weweπ π π Usinifanye hela zangu ziishe hadi niingie benki ya watu wa Zanzibar kukopa nauli. Itakuwa aibu ya Karne π
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Feb 13, 2021 #90,735 Grahams said: Mungu wangu, tafadhali weweπ π π Usinifanye hela zangu ziishe hadi niingie benki ya watu wa Zanzibar kukopa nauli. Itakuwa aibu ya Karne π Click to expand... π π Basi tufanye nitakuachia nauli tu.imekaaje hiyo
Grahams said: Mungu wangu, tafadhali weweπ π π Usinifanye hela zangu ziishe hadi niingie benki ya watu wa Zanzibar kukopa nauli. Itakuwa aibu ya Karne π Click to expand... π π Basi tufanye nitakuachia nauli tu.imekaaje hiyo
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,903 Reaction score 57,684 Feb 13, 2021 #90,736 Chakorii said: π π Basi tufanye nitakuachia nauli tu.imekaaje hiyo Click to expand... Hapo sawa, kumbe unajua kujali eeh. Ngoja nikuwahi kabla Wazanzibari hawajakuteka kabisa. Na nitakurudisha Bara kabisa π
Chakorii said: π π Basi tufanye nitakuachia nauli tu.imekaaje hiyo Click to expand... Hapo sawa, kumbe unajua kujali eeh. Ngoja nikuwahi kabla Wazanzibari hawajakuteka kabisa. Na nitakurudisha Bara kabisa π
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Feb 13, 2021 #90,737 Grahams said: Hapo sawa, kumbe unajua kujali eeh. Ngoja nikuwahi kabla Wazanzibari hawajakuteka kabisa. Na nitakurudisha Bara kabisa π Click to expand... Ndio nina huruma mno kwenye baadhi ya mambo Grahams . ππππfanya chap bhana uje uniondoe huku maana wanaweza kuniteka ujue
Grahams said: Hapo sawa, kumbe unajua kujali eeh. Ngoja nikuwahi kabla Wazanzibari hawajakuteka kabisa. Na nitakurudisha Bara kabisa π Click to expand... Ndio nina huruma mno kwenye baadhi ya mambo Grahams . ππππfanya chap bhana uje uniondoe huku maana wanaweza kuniteka ujue
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,202 Reaction score 770,343 Feb 13, 2021 #90,738
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Feb 13, 2021 #90,739 moudgulf said: View attachment 1701396 Click to expand... Nyanya chungu,bamia ππ
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,903 Reaction score 57,684 Feb 13, 2021 #90,740 Chakorii said: Ndio nina huruma mno kwenye baadhi ya mambo Grahams . ππππfanya chap bhana uje uniondoe huku maana wanaweza kuniteka ujue Click to expand... Na ninavyopenda kudekezwa sasa, ngoja nijiandae kunenepa kwa huduma zako Angalia ratiba ya ndege on Wednesday kuja Bara. Ila ndiyo oneway, hakuna kurudi tena Zanzibar
Chakorii said: Ndio nina huruma mno kwenye baadhi ya mambo Grahams . ππππfanya chap bhana uje uniondoe huku maana wanaweza kuniteka ujue Click to expand... Na ninavyopenda kudekezwa sasa, ngoja nijiandae kunenepa kwa huduma zako Angalia ratiba ya ndege on Wednesday kuja Bara. Ila ndiyo oneway, hakuna kurudi tena Zanzibar