Yanakuwa matamu hatari.
Unayakaanga na nyanya,hoho ,yaani km unavyounga nyama tu,waweza weka na Nazi..ila inabidi umenye kwanza na ganda lake ni gumu kidogo.
Jaribu halafu utanipa mrejesho hapa.
Kesho nikipata muda nitaenda kulisaka sokoni.
Kipindi Niko bush nilikuwa nayagonga sana..najichumia tu shambani.