Selfika na JF: Snap it. Show it

Mtu anayeweza kumfikisha mwenzie mawenzi


Mawenzi ni wapi na mimi nilale pembeni yako ili nikiamka nikufikishe?
wee thubutu mie parking imejaa, tena mie ni jimbo halali la mheshimiwa fulani aliyepita kwa kura nyingi na kishindo kikubwa. Kwahiyo swez kuuza nafas kwa mgombea mwingine.
nna Pete kidoleni, usaliti kwangu sijafunzwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…