Ongezea kupiga msosi bro. Mwili niliouona siku ile ukiwa umepigwa na Malaria siyo mwili wa Kisukuma ule. Hatuna Wasukuma wenye miili kama ya akina Kagame sisi
wee thubutu mie parking imejaa, tena mie ni jimbo halali la mheshimiwa fulani aliyepita kwa kura nyingi na kishindo kikubwa. Kwahiyo swez kuuza nafas kwa mgombea mwingine.