Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Leo umeenda church mama
Kapicha basi
Asubuhi na mapema ibada ya kwanza nimeingia
IMG_20210131_075718_0.jpg
IMG_20210131_075720_8.jpg
IMG_20210131_075715_4.jpg
 
Leo umeabudu ndani ya vazi la satini mujarabu kabisa, na limekupendeza haswaaah, vipi n gauni au skirt na shirt?
Satini yangu ilikuwa inawakawaka tu kwenye jua la asubuhi[emoji23]

Ni gauni.. lilikuwa la sherehe huko msimamizi wa send off alinipa.

Nilienda kumodoa kidogo maana nilivyo miss sijambo[emoji23]
Fundi alichonifanyia nilitamani kummeza.
Navaa tu kiugumu ni vile siwezi kutupa nguo hata siku moja.
 
Back
Top Bottom