cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,298
- 187,951
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]thubutuuuh ntakufurusha weyeeeh ooooh,Nitakutafuta nikueleze maana ya kulamba chumvi ya asili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]thubutuuuh ntakufurusha weyeeeh ooooh,Nitakutafuta nikueleze maana ya kulamba chumvi ya asili
Satini hiyo nzuri had rangi imenoga, afu mbona imekukaa vizuri tyuuh, labda kwa huko juu kna kasoro, ila kwa nilivoona hapo uko fresh kabisaa, na umedamshiiiiii yaan.Satini yangu ilikuwa inawakawaka tu kwenye jua la asubuhi[emoji23]
Ni gauni.. lilikuwa la sherehe huko msimamizi wa send off alinipa.
Nilienda kumodoa kidogo maana nilivyo miss sijambo[emoji23]
Fundi alichonifanyia nilitamani kummeza.
Navaa tu kiugumu ni vile siwezi kutupa nguo hata siku moja.
MapeneeeeeehNguvu za kiume[emoji116][emoji116]View attachment 1690770
MaandaziMlinzi pesa, kisu mzigoView attachment 1690773
cocasticUnacheka nini sasa? Kuzama huko uvinza kwenu ni sunnah? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kichungu lazima ukionje.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]thubutuuuh ntakufurusha weyeeeh ooooh,
MambozAbeeeeh
Nguvu za kiumeMlinzi pesa, kisu mzigoView attachment 1690773
Sawa...[emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji1549][emoji1549][emoji1549]Unacheka nn wee babu? Mnadhulumu haki za wajukuu zenu wa kiume, wanaishia kuharibu mali za umma. Muache mara 1 huo ufedhuli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu wanguMlinzi pesa, kisu mzigoView attachment 1690773
hahahahahhaha yani nilikua niko serious na notification.....nijue jibu eeehUnaniuliza swali chonganishi au siyo[emoji23]
Ramli chongamishi hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahahahhaha yani nilikua niko serious na notification.....nijue jibu eeeh
bhakamanya kinyakyusa tubhajhobhepo.....eeeeh alii nghughanile???
kalumbu
Fresh wapi [emoji23][emoji23]Satini hiyo nzuri had rangi imenoga, afu mbona imekukaa vizuri tyuuh, labda kwa huko juu kna kasoro, ila kwa nilivoona hapo uko fresh kabisaa, na umedamshiiiiii yaan.