Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Satini yangu ilikuwa inawakawaka tu kwenye jua la asubuhi[emoji23]

Ni gauni.. lilikuwa la sherehe huko msimamizi wa send off alinipa.

Nilienda kumodoa kidogo maana nilivyo miss sijambo[emoji23]
Fundi alichonifanyia nilitamani kummeza.
Navaa tu kiugumu ni vile siwezi kutupa nguo hata siku moja.
Satini hiyo nzuri had rangi imenoga, afu mbona imekukaa vizuri tyuuh, labda kwa huko juu kna kasoro, ila kwa nilivoona hapo uko fresh kabisaa, na umedamshiiiiii yaan.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]thubutuuuh ntakufurusha weyeeeh ooooh,
Kichungu lazima ukionje.
Usikubali watu wakuonjee.
Onja mwenyewe uona ladha yake inafananaje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
FB_IMG_1612091986537.jpg
 
Unacheka nn wee babu? Mnadhulumu haki za wajukuu zenu wa kiume, wanaishia kuharibu mali za umma. Muache mara 1 huo ufedhuli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa...[emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji1549][emoji1549][emoji1549]
 
hahahahahhaha yani nilikua niko serious na notification.....nijue jibu eeeh


bhakamanya kinyakyusa tubhajhobhepo.....eeeeh alii nghughanile???



kalumbu
Ramli chongamishi hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mma , nganie kujobha findu ifi panu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom