Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,296
Wewe ndo unywe bia🙄Nitaagiza tu bia hiyo hiyo taratibu nionyeshane nayo makali
Wakati kuna mtu umemuahidi zawadi akiacha😀
Wewe ndo unywe bia🙄Nitaagiza tu bia hiyo hiyo taratibu nionyeshane nayo makali
Bado upo kusini au umelud squareHivi sina jirani yeyote humu umtumie niende kuchukua
Upo wapi nikuletee😎Tatizo Sina namba ya simu
Mbona nilishasema humu kwamba mimi siwezi kulewa hata iwejeanaweza sema mafuta huyu achelewi
Nakunywa tu mbona!Wewe ndo unywe bia
Wakati kuna mtu umemuahidi zawadi akiacha![]()
Mtakatifu mbona unataka kuwa rosa msitika.. Kama sijakoseaMbona nilishasema humu kwamba mimi siwezi kulewa hata iweje
Au haukuwepo?
Ko mnabadilishana??Nakunywa tu mbona!
Yeye anaacha mimi naanza
Nipo jiji la neemaBado upo kusini au umelud square
Ni Kutesa kwa zamuKo mnabadilishana??
Ndo nani?Mtakatifu mbona unataka kuwa rosa msitika.. Kama sijakosea
Kijijini hukuUpo wapi nikuletee![]()
Atari, 😆😆
Huyu kaniquote muda mfupi tu uliopita
Roho inauma sanaAtari,![]()
Tuache na dodoma yetuNipo jiji la neema
La kijani
Nalimalima mazao huku..huko jua kali mno utadhani kuna kituo Cha jua
Daah kwelNi Kutesa kwa zamu
Ngoha nitafute fisi wa kuja nayeKijijini huku
Basi mtu akikublue tick utakua unaumia sna.Roho inauma sana
Mtoe tu!
Hata Mungu aliupenda ulimwengu"AKAMTOA"mwanawe wa pekee.
Nyie ni nani tena jamani hadi msitoe hela![]()




Kwani ulikuwa unataka kuandika nini mbona umefuta furaha sana na wewe😅😅😂😂😂😂nimeandika nimefuta nimeandika nikafuta tena..
Ila sijajua kwanin mechi za kirafiki limekuja kichwani🤣