Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Thanks Anne

Ila watoto ni kisingizio tu mama....kula kula ndo kunatuponza
Wamama wengi basi wanafeli Sana
Wewe nahisi utakuwa sawa kiumri na dada yangu mmoja hivi ila yeye Sasa mwili wakehapo ana mtoto mmoja tu

Unaonekana kabinti kama sisi ambao hatujazaa, nikiwa mkubwa na watoto ntakuja kuchukua summary namna ya kufanya ili mwili ubaki hivihivi bila vitambi na minyama uzembe.
 
Chukua tu summary leoleo! Kwakweli nyama uzembe sio.
Yaani huyu dada anautunza mwili wake vizuri.
Mm nina dada yangu anasingizia operation..amenenepeana anakula hovyohovyo.
Huwa nawaambia kuna dada mmoja huwa namuona jf, ana watoto nadhani ni 3 ila mwili wake sasa mzuri anaonekana binti mdogo kama Mimi tu wa 20's
 
Kuhusu miili mikubwa nilihisi labda nyie Wanyaki ni asili yenu.

Nimetembea tembea kidogo Mkoa wa Mbeya Uyole, Iyunga, Vwawa hadi Tunduma nimeona wamama wengi wana asili ya miili mikubwa na Vitambi kidogo.

So I concluded pengine ni asili ya miili yenu

Pole kwa maoni yangu, iwapo yatakukela bibie
Wala hayawezi yakanikera.
Ndiyo kuna asili lakini pia kuna kujiendekeza.
Wale wamejiendekeza..kabla ya kuzaa walikuwa na miili mizuri tu!miili na nyama uzembe zinazidi kuongezeka kadiri wanavyoongeza watoto.

Tuna mama yetu mzazi,,yupo 60's sasa ila ukimuona ni kama binti tu!hana kitambi wala nyama uzembe miaka yote na hapo alituzaa watoto7.
Sasa hawa wenye watoto wa4,3,1 uniambie kitambi ni asili???
Sidhani.

Btw I'm not a nyakyusa.
 
Karibu
20210125_145614.jpg
 
Thanks for your maturity

Unachosema ni sahihi kuhusu Mtindo wa maisha hasa ya kula kula unavyoweza kuchangia hiyo miili mikubwa na vitambi

By the way ukipata Binti mdogo ambaye hajazaa unaona kabisa na Umbo namba 8 lilivyojichora kirahisi huwezi dhani ni Mnyaki hata

Nikaribishe nikutembelee jirani , si unajua safari moja huanzisha nyingine
Mbona hao wanyakyusa asilimia kubwa wana hizo shepu

Ishu ya huyu dada ni ya kipekee na anastahili tu pongezi..ni watu wa kaskazini wangapi waliozaa wana mwili mzuri Kama wake?

Akhsante mkuu,wageni sihitaji
 
Back
Top Bottom