Selfika na JF: Snap it. Show it

Hii ni hatari sana, napiga marufuku kabisa mtu asiguswe. Kuna mkongo mmoja anawafaidi hatari, halafu wadada wanamsifia eti ana mikono mizuri....nasema hapa wanaliwa kimasihara
Kulipa kimasihara nikutaka ujue..yani mpka unanitafuna jua mimi mwenyewe nilikuwa nikikutamani sema nilikuwa nasubiri tu unianze.

😆😆eti unapiga marufuku..
Kila mwanamke anatabia zake lakni huyo anepigwa game akiguswa tu mbona kazi anayo..maaan atakanyagwa sana kama barabara na kila mpka rangi
 
nimecheka km mwehu wallah, na wee ulivyo unajichetua kidogo utashangaa anasahau kudai hela ya malipo.
Nijichetue anivunjie adabu.
Naweka uso wa mbuzi ukiniona huwezi amini.hawanaga adabu wale ukiwalegwzea wanakukosea adabu hadharani..na mimi na mtu wa kunivunjia heshima ni fasta tu nakubadilikia bila mategemo
 
Nijichetue anivunjie adabu.
Naweka uso wa mbuzi ukiniona huwezi amini.hawanaga adabu wale ukiwalegwzea wanakukosea adabu hadharani..na mimi na mtu wa kunivunjia heshima ni fasta tu nakubadilikia bila mategemo
Kwa huo mguu wako Unipe chance ya kukupaka rangi na kusugua miguu lazima nikubake tu hamna namna.
 
Ulikaribia kulegea nini S. Anne?
Nilikuwa nastuka yaani

Mimi mtu akinigusa hata bega tu nastuka..Niko sensitive sana kwenye miguso.

Sikuwa comfortable kwa kweli.. nilikuwa nachezesha miguu, sometimes natoa..alinitengeneza kwa shida mno hadi kumaliza kupachika hizo kucha

It was my first time..
 
Mhhh mchumba upo sensitive miguuni eeeh


Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Ndiyo

Kuna rafiki yangu skuli alikuwa ananicheka sana..... sometimes alikuwa anakuja ananistua na mikono begani yaani nastuka..
Ngozi yangu inasense vibaya Mno..hii ninayo hata usiku nikilala..mtu akipita karibu nasense kabisa huku nipo usingizini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…