yaan nimecheka had baas, nakumbuka 1St yr ile mwanzon nilienda cafe sasa nkaagiza wali na samaki, nkaletewa kijiko mie huyu nkanawa mkono nazoa wali.
Muhudumu akaanza kucheka afu kwa sauti, mie skujari nkala zangu nkalipa, ile natoka anauliza "umetokea mkoa gani" nkamjibu alizidisha kucheka,
Mie huyo nkasepa zangu wala sikujari aaaah, kijiko na umma ni kuchelewesha mlo.