Selfika na JF: Snap it. Show it

 
Mimi ukinikuta nimekaa cafe ujue nimekalia ugali

Show ya ugali, Tena unakuta nimekaa meza wanakuja na wakaka wanakula ugali..
Aloo hapo ni kumenya ugali na mikono hadi napukutisha sahani..nikitoka hapo naenda kupiga pindi fresh



Sasa akaanza kukucheka

Hajui mkono ni rahisi kulia kuliko kijiko
 
nakutania hicho kionjo tu ni Kama kisafisha njia naenda kula ugali kitimoto muda si mrefu ubebe gunia halafu ule vimbogamboga hivo maana huku chips wanaita mboga,
Ningeshangaa

Hizo chips mimi hata kwa kuonja tu hazinitoshi,sembuse wewe unayeenda inua mahindi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…