Selfika na JF: Snap it. Show it

certified Gay.......kulalaleeeeek ( in billdrago voice)
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜€ dah huyu dogo tulimuendekeza Sana laiti ningejua ni choko asingekula like yangu Wala quote na NINAKEMEA VIKALI SANA ADHABU YA WATU KAMA HAWA NI KUFUNGWA JIWE KUBWA SHINGONI NA WAKATOSWE BAHARINI fullstop
 
dah huyu dogo tulimuendekeza Sana laiti ningejua ni choko asingekula like yangu Wala quote na NINAKEMEA VIKALI SANA ADHABU YA WATU KAMA HAWA NI KUFUNGWA JIWE KUBWA SHINGONI NA WAKATOSWE BAHARINI fullstop
Sasa km unakemea hilo na adhabu zake unazijua ni wazi ukaanza kutekeleza kwa vitendo, sio maneno tupu km serikali ya Tz inapinga kwa mdomo huku vitendo ni
.

Mbona wapo wengi wanaojitangaza wazi wazi na sijawahi ona wakipewa hizo adhabu. Au mie ndio sielew?

Mf, James Delicious anajiweka wazi wazi na alishatoa maudhui ya hilo suala hadharani, kilichofuata kukamatwa na kuwekwa rumande siku 3 katoka nje yupo uraiani anaendelea na maisha yake,

Akaweka tena maudhui hadharan, akaamriwa fine 5Ml zikatolewa case kwisha, sasa hizo adhabu unazozisema wee kutoka wapi? Km kutoka ktk vitabu vya dini mbona sijawahi ona dini au dhehebu lolote kuwahi kutekeleza hizo adhabu, ingali wapo wanao onesha wazi wazi suala hili hadharani.

Ni muda sasa jamii iwe buzzy na mambo ya msingi na yenye tija ktk kuleta maendeleo ya Taifa kwa ujumla, na sio kuwa buzzy kupinga suala la rasilimali ya mtu binafsi, tena ikiwa hawawezi kutatua tatizo hilo kamwe, ni upotevu wa muda.

Live ur own lyf, n mynd ur own bznes.

Tunaishi mara 1 tyuuh..........
 
EbohπŸ™„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…