Selfika na JF: Snap it. Show it

Tuweke picha ila heshima ni Muhimu.
Dogo picha zako hazina maadili,una uhuru na jana nilisema binadamu wote ni sawa ila si sawa kuweka hizo picha.

Sikuingilii ila jiangalie sana,njia uliyoichagua si nzuri,bado unayo nafasi ya kurekebisha,Mungu ni pendo, ndiye njia na anatuonyesha njia...huko ulipo sipo kabisa
Mungu bado anakuhitaji,ubadilike.
 
Toast to that
 
kwahiyo mkuu, wee ni kwamba ulizaliwa ukiwa na hormones imbalances, yaani ni wa kiume ila hormones za kike zimezidi au.....
ulizaliwa wa kiume ukiwa vzr kabisa bila tatizo la hormones imbalances ila umeamua/umependezwa mwenyewe kuwa gay??????
 
poor gay.....


shenz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…