Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna jamaa pale juu amesema eti afadhali hizo za Mtera,nikamuuliza alishawahi kuona korongoni kulivyo??
Zote tu ni hatari..kitonga juzi Kati Kama si mwaka jana basi ni Mwaka juzi,bus liliporomokea huko chini na hakuna aliyekufa.
Like Serious πŸ™†

Ila kama ulivyosema both ways ni mbaya na zinahitaji Umakini sana wakati Unaendesha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…