Lizzy anaonekana ana hobby ya kusafiri, I guess hiyo cheque ataitumia kwenda angalau visiwa vya Comoro ili apate utulivu wa kuipitia CV yako πππ
Hapo unakuwa hujatutendea haki, unatakiwa ukirudi unakuja na jibu la Ndiyo ili mipango ifanyike haraka upelekwe Vacation Egypt ukaone Pyramids na mahali ambapo Mosses aliongea na Mungu.
Kuna jamaa pale juu amesema eti afadhali hizo za Mtera,nikamuuliza alishawahi kuona korongoni kulivyo??
Zote tu ni hatari..kitonga juzi Kati Kama si mwaka jana basi ni Mwaka juzi,bus liliporomokea huko chini na hakuna aliyekufa.
Hapo unakuwa hujatutendea haki, unatakiwa ukirudi unakuja na jibu la Ndiyo ili mipango ifanyike haraka upelekwe Vacation Egypt ukaone Pyramids na mahali ambapo Mosses aliongea na Mungu.