Selfika na JF: Snap it. Show it

Lizzy anaonekana ana hobby ya kusafiri, I guess hiyo cheque ataitumia kwenda angalau visiwa vya Comoro ili apate utulivu wa kuipitia CV yako πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Uko vizuri sana kwenye mipango Grahams πŸ™‚πŸ‘ŠπŸΎπŸ‘ŠπŸΎ Alafu mara paaap nasahau kilichonipeleka narudi na Mcomoro πŸ™ˆπŸ™ˆ
 
Uko vizuri sana kwenye mipango Grahams πŸ™‚πŸ‘ŠπŸΎπŸ‘ŠπŸΎ Alafu mara paaap nasahau kilichonipeleka narudi na Mcomoro πŸ™ˆπŸ™ˆ
Hapo unakuwa hujatutendea haki, unatakiwa ukirudi unakuja na jibu la Ndiyo ili mipango ifanyike haraka upelekwe Vacation Egypt ukaone Pyramids na mahali ambapo Mosses aliongea na Mungu.

Ushindwe wewe tu 😜😜
 
ila kote Kuna hatari Sana kitonga pale kila dereva Yuko Makini ni ni nadra kukuta ajali
Kuna jamaa pale juu amesema eti afadhali hizo za Mtera,nikamuuliza alishawahi kuona korongoni kulivyo??
Zote tu ni hatari..kitonga juzi Kati Kama si mwaka jana basi ni Mwaka juzi,bus liliporomokea huko chini na hakuna aliyekufa.
 
huyu jamaa anakuaje gay then proudly kabsa....angekua wa mbeya huyu ningeenda malawi niitwe Gerald kamunzu Banda tuu....


nimefurahi sana kusikia hatoki Mbeya....aka mundu ujhuu kinyamana
Mkuu acha kumuita mwenzio kinyamana
Ni dhambi, binadamu wote ni sawa regardless ya mapungufu na madhambi tunayoyatenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…