Haki na umri huu bado ni mshamba kabisa wa hizi Kucha.kuna siku nilibandika nilijihisi kama mlemavu tu..ngiri sio ngiri basi tu maisha yalikuwa magumu mno
Mwaka Jana ndio ilikuwa mara yangu ya Kwanza kubandika hizi kucha na nilibandika kwa influence ya rafiki yangu niliyeongozana naye..akanilazimishia na Mimi nikaweka..miguu ilikuwa mizito hatari , kwenye daladala mtu unasimama kwa wasiwasi
haki urembo ni kazi jamani!
Kwanza picha limeanza nimeenda Church,ile katika harakati za kucheza kurukaruka si nikagongana na mtu