Unataka nikutajie umri wangu hapa??
Kuna mmoja anasema lawama ziende kwa serikali kuwaita hawa watoto maT.O kwa mtihani ambao haupo standardized.
Jamaa flani ana avatar ya nyerere
anatema cheche acha kabisa, anasema genius gani anadisco chuo
hadi Baba swalehe akasema basi yaishe jamaa hakuwa genius