Selfika na JF: Snap it. Show it

Yesu wangu
Huyo nikikutana naye siku ananilima mtama
na nilivyokuwa na kimwili kidunchu


Yaani wangeona sasa mtu wanayebishana naye hata wasingehangaika
.

Shule yenyewe nimeishia form 4 nikasoma astashahada ya sports and games
 
ivi wanaijua PCM au wana isikia? Kubahatisha kwa kipi? Aseeeh jf kuna watu wamevurugwa.
 
Ndio uzuri wa jf hamna kutishana kila mtu ana maisha yake personal Yule mzee ni mtu mzima ana watoto hata wew mdogo Ila anasema jf anaikubali Sana na yeye alisomaga hkl akaja kusoma Sheria udsm Basi anaona art ngumuu
 
Ndio uzuri wa jf hamna kutishana kila mtu ana maisha yake personal Yule mzee ni mtu mzima ana watoto hata wew mdogo Ila anasema jf anaikubali Sana na yeye alisomaga hkl akaja kusoma Sheria udsm Basi anaona art ngumuu
Ninong'oneze jina lake

Kumbe nilikuwa nabishana na baba zangu

Ila jf kuna vitu nafanya for fun tu..km kipindi kile nilikuwa nalala tu home,nikawa nabishana kusogeza muda.

Kila somo lina ugumu.
Shida yangu kwao ilikuwa moja tu!
Kwanini wanampinga jamaa
 
Nadhani wanaisikia tu hawa watu wa vishazi tegemezi Wana shida Sana ndio maana Kuna mdau alisema ni janja janja haelewi kwanini bado wanaexist
Yaani yule jamaa comment yake sikupenda ujumbe wake ila alinichekesha kinoma.
Yaani nilicheka usiku wakadhani nimerukwa akili.

Ule uzi unaweza kuvunja mbavu zako zote bila kutarajia.
 
Jina lake sikupi wew endeleaga kumchokoza tu siku akupige mitama
na msala wangu juzi polisi nilisahau nilimkumbuka nikasema naomba mmpgie mzee fulani ndio mlezi wangu
nikashangaa naitwa nitoke akasema nilikua wapi siku zote mpaka nimekaa hvo ndani
 
Mungu ambariki Sana aisee.
Sasa si unitajie tu jamani
au unataka hadi nije pigwa mitama??
Au unataka hadi nikubembeleze?

Nitajie nimkumbuke kwenye sala zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…