Sasa Kihombo aliingiaje tena wakati alikuwa ameshakufa??
Kuna jamaa mwenye avatar ya nyerere jamaa anaponda ukisoma comments zake unaweza zimia kwa kicheko
Sasa Kihombo aliingiaje tena wakati alikuwa ameshakufa??
Kuna jamaa mwenye avatar ya nyerere jamaa anaponda ukisoma comments zake unaweza zimia kwa kicheko
Na nilipania kukachamba kwelikweli bahati kaliwahi kuondoka maana ningekashangaza ile siku.
Eti badala tumdiskasi Kihombo akaanza kujishaua eti mm sio ndugu yake na kiingereza chake kibovu vile kama barabara ya makambako-mbeya ilivyo na viraka,na hapo Ni baada ya kumwambia naye ajaribu kukariri afu apate kama jamaa ili tujue kweli jamaa alikuwa wa Kawaida... yaani utadhani kuna sehemu nilimwambia nataka undugu naye,awe ndugu yangu aringe