Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Ndio hapo sasa.wivu tu usikute ulikua unabishana na ma HKL yanajua physics Ina vishazi huru
Unaziona chache???msema kweli mpenzi wa mungu kwaio 3 unaona Kama nyiiiiingi
hahaha aisee vijana Wana utani na physics yaan wanasema arts ni ngumu 😆😆😆 Mimi arts hata nilikua sisomi kivile olevel na niliiburuza mpaka naionea hurumaNdio hapo sasa.
Kuna wengine hata hiyo physics ya form 4 tu hawakuisoma ila walikazana kusema physics unakariri tu!
Yaani hakuna siku nimebishana na watu humu Kama hiyo siku.
Wengine nikagundua hawakuisoma hiyo Combi ya jamaa na hata hiyo 1.3 achilia mbali wastani wake hawakunusa.
Mwingine akaja akasema sayansi ni rahisi kuliko arts maana eti sayansi unasoma vitabu vichache tu umeshamaliza.. yaani nilijisikia kucheka sana..hapo haijui hata Chand moja tu ina uzito gani.Kuna jamaa alikuja kumjibu,huyo Sasa ndo alinivunja mbavu
Mweee kweli nyani haoni kundule,uka nnyakyusa ughweee hahahahahha......mbishi mnoo ku jamii forum bhanyakyusa tulibhingi mpKa muda nimehesabu tuko wanne....bhanyaki oyeee
sio Chache pia sio nyingi my maximum consumption ni 5 Napo hutokea Mara moja moja saaana na mie nakunywaga occasionally tu naeza kaa miez sijagusaUnaziona chache???
Shida ni walipoanza kusema eti physics ni rahisi tu!vitabu vichache tu umemaliza afu eti maswali yake hayana chenga,yako straight forward unaweka tu kanuni unatembeahahaha aisee vijana Wana utani na physics yaan wanasema arts ni ngumuMimi arts hata nilikua sisomi kivile olevel na niliiburuza mpaka naionea huruma
alinu lwanda jhulaa ghwee haji manara ghweeeeeMweee kweli nyani haoni kundule,
Une nugwe,jwani mbishi
Kangi ni sya naloli unabisha..
Ndeka unee
Ntakuwa nakunanga taratibu hivihivi..sio Chache pia sio nyingi my maximum consumption ni 5 Napo hutokea Mara moja moja saaana na mie nakunywaga occasionally tu naeza kaa miez sijagusa
yes mbena yule jeuri alikua nayo haswa ungewaambia tu nawasamehe kwakua hamjui mlitendalo enyi kizazi Cha nyokaShida ni walipoanza kusema eti physics ni rahisi tu!vitabu vichache tu umemaliza
Ule uzi kuna comedy za kutosha.
Hapo hajui tu kama hicho kitabu kimoja kinaweza kuwa sawa na vitabu vyao vyote.
Wanasema ooh hajagundua chochote eti kwahiyo Hana mchango.Tukawaambia kwani mnajua amefundisha vichwa vingapi?
Eti anaishiaje kuwa mwalimu wa tuit??
Nikawaambia hiyo ilikuwa passion yake..
Uzuri Jamaa mwenyewe alikuwaga jeuri hatarialisema "km unaona sijafanya hiki unanilaumu,basi na wewe pata kama mimi afu ukifanye wewe"
K
Mwomumwoalinu lwanda jhulaa ghwee haji manara ghweeeee
na Mimi mtu akinisema hua najitafakari mnoo naonaga Kama namdisapoint sanaNtakuwa nakunanga taratibu hivihivi..
Utakuwa ukienda kunywa unajisikia vibaya.
Jamaa walikuwa hawataki kuappreciate kabisa kuwa jamaa alikuwa mwamba..ukiappreciate kitu haufi jamaniyes mbena yule jeuri alikua nayo haswa ungewaambia tu nawasamehe kwakua hamjui mlitendalo enyi kizazi Cha nyoka
Kumbe!na Mimi mtu akinisema hua najitafakari mnoo naonaga Kama namdisapoint sana
umeongea maneno makali Sana naomba nilale nayo nikiyatafakari kwa kinaKumbe!
Ngoja niongeze juhudi.
Hizo hela Bora uziongezee kusaidia wahitaji kuliko kunywa.Sikupangii ila ni ushauri tu!
Sidhani kama pombe ina faida kuliko wahitaji.
kuna comment nilicheka sana jamaaa akasema inasemekana hajafa...akaulizwa una uhakika akajibu si huyo st Annie huona analumbana na watu....post ya msiba ila nilicheka sanaJamaa walikuwa hawataki kuappreciate kabisa kuwa jamaa alikuwa mwamba..ukiappreciate kitu haufi jamani
Kuna kadogo kamoja si kakaanza kuniattack na humu huwa kanakuja,wacha nikachambe
Watu wakawa wanasema au mm ni kihombo mwenyewe jamaniSasa kihombo aje kuchambana huku alishakusamehe.
umeongea maneno makali Sana naomba nilale nayo nikiyatafakari kwa kina
Nitumie, imenipitaMmmh niwewe nimeweka kymbukumbu sawa, hongera shape iko vizur nareception iko vyema
Sent from my DRA-LX2 using JamiiForums mobile app
Yaani ule uzi sometimes ulikuwa unachekeshakuna comment nilicheka sana jamaaa akasema inasemekana hajafa...akaulizwa una uhakika akajibu si huyo st Annie huona analumbana na watu....post ya msiba ila nilicheka sana
hahahahahaha mmoja anasema ww ni kihombo ila umebadili id.......hahahahaaha daaaaah ngoja niutafute sina usingz nipate pa kukesheaYaani ule uzi sometimes ulikuwa unachekesha
Hiyo sikuionahahahahahaha mmoja anasema ww ni kihombo ila umebadili id.......hahahahaaha daaaaah ngoja niutafute sina usingz nipate pa kukeshea