Selfika na JF: Snap it. Show it

walikua na wivu tu jamaa alikua fundi Sana Mimi alinipiga Sana pindi za hesabu nililia Sana kwa Mara ya kwanza toka nizaliwe
Tafuta ule uzi wake usome uone watu walivyokuwa wakitoa kejeli.
Watu wanashangaza sana,yaani mtu ametangazwa T.O na anasovu maswali yote ya physics mkimpa ila wanabisha wanasema alikuwa wa Kawaida


Wengine wanasema eti alikariri ty,elimu ya kukariri,,km ni ya kukariri mbona kila mtu angepata hiyo one ya 3..paper ya physics hata ingekuwa kesho mchana ,wakupe marking scheme usiku huu ulale nayo ..kama ulikuwa huielewi hutoboi.

Sasa 98,99,98,97 % wastani wa 98% bado wanasema jamaa wa Kawaida
chaa!!
 
hahahahahaha nilikua sijaelewa haji manara......


msemaji wako sio??....@st annie sijui ni Mkinga ni mbishi sijawai ona duniani alibishana na kijiji kule hoja mchanganiko
Msemaji wangu ndio sasa unabishana nae kabisa haji manara wangu
 
wivu tu usikute ulikua unabishana na ma HKL yanajua physics Ina vishazi huru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…