Selfika na JF: Snap it. Show it

Enzi za Gerrard na Torres sio issue, issue hapa ni huwa mlikuwa mnajifungia wapi sisi tukishabikia timu zetu
mlikuwa mnasikitisha sana, mshukuruni Klopp.
Kwanza kabisa acha kutaja Liverpool na vitu vya ajabu Kama asenal

Liver timu kubwa wewe

Miaka yote tupo constant..Mwaka Juzi tu tukavuma zaidi


Sasa aseno tangu mmbahatishe kipindi kill mmekuwa bure kabisa
 
Wewe wa Kishua, hata mwandiko nimeudeku unaprint ki Njiro flani
Kumbe na wewe una mawazo kama ya billdrago ..kwanzia sasa hivi nawahakikishia ni natafuta pesa kwa hali na mali nije niishi maisha ya mwandiko wangu..hakyamama tena sasa natafuta pesa kwa uchungu.

Haiwezekani maisha yangu hayaendani na mwandiko wangu.haiwezekani kabisa
 
Bora mwamba nae kaniunga mkono maana najua ungenishinda tu, ongeza kutafuta ujazilizie tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…