Selfika na JF: Snap it. Show it

Baba yangu mzee wa miaka 60's anashabikia litimu lenu..Mimi na nikashabikie litimu la hovyo hivyo
si Bora hata niwe aseno
wew ilibidi ndio uwe man u like father like daughter sijui unafeli wapi na livakuku hio.. mby pameanza kua na foleni nipo mafiat hapa naanzia mbalizi naanza kurudi mpaka uyole
 


Inaonekana darasani ulikuwa unakumbuka hadi nukta ya mwl yani hausahau kabisa.
Nilikuwa nasahau balaa

Kichwa kinalia tu "zzzzzzz" mwanzo hadi mwisho wa pepa

Yale masomo ukikumbuka kila kitu mbona unaweza changanyikiwa ukajikuta unaenda milembe


Haya Sasa weka kapicha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…