Selfika na JF: Snap it. Show it

umenitia Moyo..

Ngoja Mwaka huu nishone shone niongeze maujanja.
 

Nilijua tu unatania

Wadada ukweni wanavyokuwaga wapole yaani utasema malaika huyu hapa
.
usinikumbushe siku naenda kutambulishwa kwao na mchumba angu aisee nilienda nimevaa gauni ya kitenge hyo ndefu alafu pana hahahaha mpk mchumba mwenyewe hakuamin kama ni mimi na kichan nakwambia nilifunga na kiremba
jmn nilifika tu baba mkwe ananiita akanipeleka zizini nichague mfugo wa kuchinjiwa...sita isahau hyo siku nilichagua kondoo nikachinjiwa..nikapewa mawe nipange mafiga mtoto wa watu mimi sijawai pika ugali kwa mikono miwili toka niwepo jmn ila sikujali nilivua gaun langu nikaweka kando nikavaa dela nikapanga mafiga nikawasha moto nikatenga mboga uku mawifi na wake na mashemej wananiangalia tu jmn
imagen sikuonesha hasira kbsaa nilipika yule kondoo then nikatenga sufuria la ya ugari
kwenye kusonga ilikuwa kimbembe niktazama watu ni nyomi kishenzi wa 16 walikuwepo pale ukweli nilimuita mama mkwe nikamwambia tu ukweli siwezi kusonga ugari wa watu 16 wa watu kumi tu sijawai nilicho kifnya nilimfata kijan ake nikamwambia baby si unajua bdo naumwa eeh maan nilikuwa na wiki 2 toka nialibikiwe ujauzito ndo kamfata mama ake kumwambia hyu bdo anaumwa harusiwi kufanya kazi ngumu hahahahah
sita sahau kwa kweli ukweni mkusikie tu hakunaga mazoea
 
Dada mkubwa naomba kujua.mlifanikiwa kufunga ndoa??tuachane na mapishi
 
Bado ni modern slave.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…