Ndio maana mlishindwa kusherekea mwaka mpya jana. Maana Kulikuwa kumepooza. Kufika saa name tu polisi wakaanza kupita eti wanafunga bar. Ila Police wa Mbeya njaa kali
nilikula ili nisife tu Ila wazoefu walikua wanaona poa tu jamaa wakawa wananiona mtoto wa mama Sana , nimekaa almost mwezi mmoja na kidogo usipime Kaka hakufai