Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Asante baba..ninajiweza mwenyeweNaomba nije nikusaidie![]()
Asante baba..ninajiweza mwenyeweNaomba nije nikusaidie![]()
😅😅😅hakuna koneksheni mwambasawaa arifu...
nikajua kuna connection hapo
Nimejaribu ku zoom picha nimeambulia mpasuo wa sketi
Sasa wewe ulitaka uambulie nini kwan..Nimejaribu ku zoom picha nimeambulia mpasuo wa sketi
Kuna vijiko vinaingia pazuri aisee😀Jumapili njema wapendwa...View attachment 1660095
Nione hata niniliu tu mkuu ila kuna mpaja na mng'ao fulani hivi kwenye mguu....Sasa wewe ulitaka uambulie nini kwan..
![]()
Acha nyasi we msukuma hazikufai😅😅😅Nione hata niniliu tu mkuu ila kuna mpaja na mng'ao fulani hivi kwenye mguu....
Yaliyomo yamo
Karibu nyama ya kuku wa kienyejiAcha nyasi we msukuma hazikufai![]()
Humu wanyaki wengi ni balaa!View attachment 1660744
Tukuyu Mjini
Kama ni linahbaby ndo kapika hiyo mboga,mwambie kesho asizidishe maji muda wa kuogelea hatuna.Karibu nyama ya kuku wa kienyeji View attachment 1660841
Humu wanyaki wengi ni balaa!
Simarakabisaaaa
Wewe shemeji yanguSi ndo mamsap wa sitori au sio.
kama ni wewe ndo umepika hiyo mboga na unajifunza!basi unafaa kwa matumizi jombaa safi!
Yani Shemeji yako mimi au nani maana sijaelewa![]()
Kwa nani tena😆😆😆Wewe shemeji yangu
Kwa mme/mpenzi uliyenae naeKwa nani tena![]()
WalaNaona unapenda yale madera wewe