Kauli yako ni kama daraja la kupeleka watu PM..Hivi mahabuba wangu ni nani jamani mbonasimjui mimi




Macho hayana pazia na moyo siyo kama figo ushindwa kubadili gia.Namfuatilia kwa ukaribu mnooo...
Naona anataka kuhamia kwenye chombo kingine kipya![]()



😅😅unamafumbo joo😅😅Macho hayana pazia na moyo siyo kama figo ushindwa kubadili gia.![]()
Chief mbona unataka kunibania hiyo connection aiseKauli yako ni kama daraja la kupeleka watu PM..
Anyway Hata mama angu alisema hivyo hivyo kwa baba miaka 90 iliyopitaa wakaoana![]()
😅😅😅labda hana bando 😅😅kwel yan muulize mbona leo yupo peke ake..
Kutoka kwenye baba na mama watoto mpka kwenye ukuukwani kila mtu yuko katika mazingira gani mpka muitane wakuu
![]()






Jumapili njema wapendwa...View attachment 1660095ingizo jipya
Tofaut lazima ionekane kati ya watakao ondoka January 4 na sisi...unamafumbo joo
![]()
Chief mbona unataka kunibania hiyo connection aise
eti wakaoan
hebuuuuu



Yan Mama angu alivyoulizwa na mzee mahabuba wako yuko wap alijibu kama wewe na mwisho wa siku me ndo matokeo ya hiyo kauli
Naona umelud kwa mpenzi kutoka kwa mpenzi

Hapana hajaenda kwa mpenzi weka
Mpenzi wake ni mimi tu
