Heri ya Christmas na mwaka mpya mkuuSafi tu mkuu
Kwangu ili pambe tuHeri ya Christmas na mwaka mpya mkuu
Nina lawama nyingi jirani nihurumieJirani yangu wangu we si wakunitupa siku muhimu kama jana na leo.
Hata karibu ya uongo kweli![]()
Hapana kama ndo maana yake aise..Namaanisha unamapepe uko vizuri...😂
Kuna code moja mbona huiulizii..???
Haki jirani siwezi kukuhurumia..waambie hao wengine wakuhurumie ila sio mimi jirani yanguNina lawama nyingi jirani nihurumie
View attachment 1659690
Siamini Hadi muda huu sijafungua box lolote



🤣🤣🤣🤣 Nimechekaa
Mimi nimefungua box la kiberiti kupasha kiporo
Nipe jukumuHaki jirani siwezi kukuhurumia..waambie hao wengine wakuhurumie ila sio mimi jirani yangu
Kutoka kwenye baba na mama watoto mpka kwenye ukuu😅😅kwani kila mtu yuko katika mazingira gani mpka muitane wakuu🤪🤪Heri ya Christmas na mwaka mpya mkuu
Unioshe miguu na kunisugua magagaNipe jukumu
Kutoka kwenye baba na mama watoto mpka kwenye ukuukwani kila mtu yuko katika mazingira gani mpka muitane wakuu
![]()
We mtata sana jirani yangu
Anguko la kiuchumi😂Kutoka kwenye baba na mama watoto mpka kwenye ukuu😅😅kwani kila mtu yuko katika mazingira gani mpka muitane wakuu🤪🤪
Nilijaribu tu kuwaza kwa sauti jirani yangu..![]()
![]()
![]()
We mtata sana jirani yangu
Wacha bhana 😅😅😅Anguko la kiuchumi😂