Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
There’s a way jirani..kuja unisugue haya magaga wapaka rangi nao wapumzike huko😅😅Noooooo way, nini![]()
There’s a way jirani..kuja unisugue haya magaga wapaka rangi nao wapumzike huko😅😅Noooooo way, nini![]()
Hahahahaha.....nimejikuta nacheka kwa sauti ya juu mno.Kutoka kwenye baba na mama watoto mpka kwenye ukuukwani kila mtu yuko katika mazingira gani mpka muitane wakuu
![]()


Weeeeee usiniambie umecheka kwa sauti!!Hahahahaha.....nimejikuta nacheka kwa sauti ya juu mno.
Chakorii bhana sijui unakuwaga una nini tu wewe mkuu
Habari za asubuhi mpendwa
Unafikiri naumizaga kichwa mara mbili basi...nikiona mambo hayaendi naanchana nayo naenda mimi😆😆Dunia inazunguka....
bado wewe😅🏃
😅😅😅😅😅
🙄🙄🙄Nikajua ni kwa T 1990 ELY tu kumbe adi kwako....😂Unafikiri naumizaga kichwa mara mbili basi...nikiona mambo hayaendi naanchana nayo naenda mimi😆😆
Hahaha...hata sijakumbania chochote/lolote mkuu.Weeeeee usiniambie umecheka kwa sauti!!
huwa sinaga kitu jombaa
Ila we mwanangu mchoyo kichizi yani...
Umenibania mbuzi na ugali wa kienyeji krismass yote hiyo eti leo ndo unarudi![]()





Naam Mkuuu
Sasa mbona ulipotea hewani na vyienyeji vyako??Hahaha...hata sijakumbania chochote/lolote mkuu.
Kwamba toka kwenye umama na ubaba watoto mpaka kwenye ukuu/mkuu![]()
Hata simpi pole ..wako likizo ya sikukuu.watarudia hali ya kawaida baada ya sikukuu
Habari ya uzima mkuuNaam Mkuuu
MmmmmmmmhHata simpi pole ..wako likizo ya sikukuu.watarudia hali ya kawaida baada ya sikukuu
Huu ni ugonjwa Sugu ujue.
Jino litakuwa linakuuma..si ndio eeMmmmmmmmh
Hahahaha....Hela ninazo ila hazitoshi mkuuHuu ni ugonjwa Sugu ujue.
Tafuta tu hela Chief kufukuza magonjwa nyemelezi![]()
😳😳uko sawa kweli we msukuma!!Hahahaha....Hela ninazo ila hazitoshi mkuu