Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahahaha.....nimejikuta nacheka kwa sauti ya juu mno.

Chakorii bhana sijui unakuwaga una nini tu wewe mkuu

Habari za asubuhi mpendwa
Weeeeee usiniambie umecheka kwa sauti!!

😅😅😅huwa sinaga kitu jombaa


Ila we mwanangu mchoyo kichizi yani...
Umenibania mbuzi na ugali wa kienyeji krismass yote hiyo eti leo ndo unarudi 🤔🤔🤔
 
Hahaha...hata sijakumbania chochote/lolote mkuu.

Kwamba toka kwenye umama na ubaba watoto mpaka kwenye ukuu/mkuu
Sasa mbona ulipotea hewani na vyienyeji vyako??

😁😁si ndo hapo sasa..au mlikuwa mnalinda njia kuu msimu huu wa sikukuu?

Haya ikivuka tarehe 1/1 tukijaaliwa uzima na afya nitaomba majina yenu matamu yarud kwa kishindo.understood
 
walking dead
20201227_082111.jpg
 
Back
Top Bottom