Selfika na JF: Snap it. Show it

Chakorii mwambie kaka ako namzimikia kimomaaa aseme kama hajanielewa nifocus na binamu yangu@Iceberg9
View attachment 1659381
Una ujasiri dyadya...๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…safi!

Sasa na wewe unakosea kumtamkia hapa public...kama kuna viunga vya jirani huoni unaharibu sasa๐Ÿคซ๐Ÿคซ

Zama piemu huko acha mambo ya ajabu
 
Mwambie naelekea kukata tamaa na siku nikikata tamaa ndo naondoka na jf kbsaaa sita rudi



Kwan kumpenda mtu vibaya
Hivi kumbe uko siriazi mama..loh haki nilikuwa sijui...

So sadi pole...๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ

๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…huoni ukiondoka utakuwa umempunguzia injili ๐Ÿคช๐Ÿคชkomaa dada
Si unajua ukisusa wenzio wala eee๐Ÿ˜ehee

Kumpenda mtu si vibaya ila na yeye kukupenda hapo ndo kipengele si unajua eee๐Ÿ˜๐Ÿ˜eheee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ