Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,666
- 50,982
Sawa kipenzi nakutumia kadi ya mualiko sasa hivi mpenziSafi tualikane mpendwa
Sawa kipenzi nakutumia kadi ya mualiko sasa hivi mpenziSafi tualikane mpendwa
Nakwambia....Alaa kumbe na wewe ni mmoja wa wale ndugu zetu wanaotakiwa wakahesabiwe mwezi huu? Nikajua wewe ni mtu wa chuga?
Anyway mbona hujaenda sasa? Nini mbaya?
Shukrani haniSawa kipenzi nakutumia kadi ya mualiko sasa hivi mpenzi
Woooow





Nipo mrembo



hebu fanya maajabu nije kujimwaimwai, njaa inaniuma hapa,nipikie mama siunajua huwa sibakizi chakula chako mama maana msosi wako ni mtamu mtamu, hayo. Naona madiko yapo tayari na huku njaa imezidi,Beef masara mama usiache





Na wali safi mama

Oohh ukirudi Kasalimie sanaHahaha
Haka ni kengine tu ka huku Dodoma
Wale wako home,bado sijarudi.
Kwema kabisa mkuuSijambo mkubwa kwema
SwadactaKwema kabisa mkuu