ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,444
- 119,039
...yaani niko tayari kukopa ili tu upate zawadi shem. Nimeachiwa majukumu yote ya kodi, ada wakati mtu amepokea vikoba.![]()





Nadhani nimeshakosea shem!
Pole Shem.. ila mimi nilikupa taarifa mapema.. Huu msimu nenda naye polepole.
Niliposoma comment yako ilinibidi niombe tena mods wairudishe ile I'd yangu ukweli in kwamba ningetaka ningekausha na I'd yangu hii ya Nuzulati bila wapendwa kujua kwamba nilikuwa na I'd nyingine kabla.
Thats my dadaSaa saba mapema namna hiyo?? Kama hadi Asubuhi nitamrudisha..



Hilo halina shida, bahati nzuri wewe ndio familia. Sasa sijui kama kuna lingine.Ndiyo kasema ukirudi nikurudishe etiii![]()
Huyu ni kichomi plus.Kwamba niache kumtetea ndugu yangu? Wewe ulisikia wapi? Ila nasikia wewe ndiyo tatizo Shem!!!
Ni mdogo wangu huyo, shemeji yako.Huyu dogo unampenda kwa namna ipi?
...yaani niko tayari kukopa ili tu upate zawadi shem. Nimeachiwa majukumu yote ya kodi, ada wakati mtu amepokea vikoba.![]()





..watu wanawatetea mashemeji zao bwana! Tena wanamwambia mdogo wao aache mambo yake..wewe hata hunihurumii.





Na mimi ndiyo msemajiHilo halina shida, bahati nzuri wewe ndio familia. Sasa sijui kama kuna lingine.
Sent using Jamii Forums mobile app

Kesi ya nyani kampelekea tumbili, bora hayo maamuzi ayaghairi tu.
Wamesemaje?Niliposoma comment yako ilinibidi niombe tena mods wairudishe ile I'd yangu ukweli in kwamba ningetaka ningekausha na I'd yangu hii ya Nuzulati bila wapendwa kujua kwamba nilikuwa na I'd nyingine kabla.
Kesi ya nyani kampelekea tumbili, bora hayo maamuzi ayaghairi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app





Naogopa hata kucomment. Atanilalamikia mbaya
Na nitalalamika zaidi, utaona!
🤣🤣🤣🤣
MakiseoWewe Msukuma vipi?
🤣🤣🤣🤣Na nitalalamika zaidi, utaona!