Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Bageshi. Unakamata ugali kila siku lakini hunenepi, unakwama wapi? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Wengine mpaka tumekatazwa kula ugali (mara kwa mara) [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Haha....Hata sijui nakwama wapi bhageshi maana kama kula nakula sana tu.

Huwa natamani na kupenda nipate kakitambi kadogo ka kufutia/kupangusia simu kioo[emoji1]

Vipi kwema lakini mkuu
 
Kumbe ndio maana unakula wadudu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]

CmEJqmiUsAEFDOW.jpg
IMG-20200524-WA0046.jpg
 
Wacha bwana!! Mliona maneno mengi mtachoka kukandamiza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana. Ni economic principle. Ipo kila mahali mpaka kwenye lugha.

Daima ni bora kufanya/kupata unachotaka kwa kutumia resources kidogo iwezekanavyo. Ndiyo maana huwa unaomba kupunguziwa bei ! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom