Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,386
Bageshi. Unakamata ugali kila siku lakini hunenepi, unakwama wapi?




Wengine mpaka tumekatazwa kula ugali (mara kwa mara)




Bageshi. Unakamata ugali kila siku lakini hunenepi, unakwama wapi?








Haha....Hata sijui nakwama wapi bhageshi maana kama kula nakula sana tu.Bageshi. Unakamata ugali kila siku lakini hunenepi, unakwama wapi?
Wengine mpaka tumekatazwa kula ugali (mara kwa mara)![]()

Bakia hivyo hivyo. Vitambi siyo dili.Haha....Hata sijui nakwama wapi bhageshi maana kama kula nakula sana tu.
Huwa natamani na kupenda nipate kakitambi kadogo ka kufutia/kupangusia simu kioo
Vipi kwema lakini mkuu



Amina mpendwaBakia hivyo hivyo. Vitambi siyo dili.
Huku kwema bageshi. Tumshukuru Mungu![]()
Weeeh!! Kwani sio Chakorii ?Naomba umuite wifi yako kipenzi linahbaby aje hapa
Kumbe ndio maana unakula wadudu!!Bageshi. Unakamata ugali kila siku lakini hunenepi, unakwama wapi?
Wengine mpaka tumekatazwa kula ugali (mara kwa mara)![]()
Kaka/dada
Karibu




Ukakata tamaa mapema hivyo?Chakorii alishanikataa eti sijui pande nne za dunia![]()
Wasukuma wazembe, mkaona mtafute neno moja litumike kotekoteBro/Sis

Ni lugha zilizokomaa tu ndiyo zina tabia hiyo. Siyo unarundika mamisamiati tu bila sababu ya msingi...



Wacha bwana!! Mliona maneno mengi mtachoka kukandamiza.Ni lugha zilizokomaa tu ndiyo zina tabia hiyo. Siyo unarundika mamisamiati tu bila sababu ya msingi...![]()
Hapana. Ni economic principle. Ipo kila mahali mpaka kwenye lugha.




Niliona bora nikate tamaa tu ila nimeangukia mikono salama kabisa kwa linahbaby mtoto mzuri sana ana sifa na ugonjwa/magonjwa yangu yote nyemelezi.
Nipende na mimi
