Bro harakati za maisha. Thanks God nimefika salama. Ilikuwa safari ya saa moja tu. Thanks for the care bro.Na ma-Corona haya unasafiri kwenda wapi bro? I hope it was real necessary and you took the proper precautions
🙏 mtumishi wa Bwana.Mungu ni mwema tumefika salama kabisa mrembo. Shukrani kwa maombi.
Sketi zipo ila mimi domo zegeWacha bhana..na sketi zote hizo mtaani bado unakuwa mpweke!!hey Hebu acha hizo weweee
Nashukuru sana kwa upendo wako. Inaonekana shemeji anafaidi sana ukarimu wako. Bila shaka nitakujuza ilinipate baraka.mtumishi wa Bwana.
Ukikaribia kusafiri tena niambie niliweka kwenye maombi..sawa ee
Kumbe tayari unazege sasa una subiri nini usiweke kokoto ukaanza kuandaa msingi wa nyumba
Karibu wakati wowote...Nashukuru sana kwa upendo wako. Inaonekana shemeji anafaidi sana ukarimu wako. Bila shaka nitakujuza ilinipate baraka.
Wallah me nimecheka nusu nife khaaaaah, iv nyie mnadhan me n kidampa ivo?
Afu hamuwez amin nguvu zangu zipo hapa kwa kibodi, ila in real life ts differ kabisaa,
Af me n introvert aaan.
Relaaaaaaaaaaaaax shemelaaaaah.
Inawezekana ule msemo nabii hakubaliki kwao unakuhusu. For my observations uko peace, friendly, charming and caring. Unajua wanaume sometimes tunasemea moyoni. Utashangaa vi surprise vya hapa na pale tu.Karibu wakati wowote...
Sina uhakika kama anafaidi mkuu maana sijawahi ambiwa.
Hakuna shida sote ni ndugu
Ohoooo nimejikuta moyo unamelt kwa furaha...kumbe watu mnasoma watu kimya kimya ee loh..Inawezekana ule msemo nabii hakubaliki kwao unakuhusu. For my observations uko peace, friendly, charming and caring. Unajua wanaume sometimes tunasemea moyoni. Utashangaa vi surprise vya hapa na pale tu.
Barikiwa sana.
Aiseee!!...umeandika kwa ujuzi sana mkuu.
Utakuwa ulishaga kutana na kitu kakamavu inapiga pande nne za dunia.
Hivi niniliu ina pande nne za dunia?
Nauliza tu Chakorii
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
You deserve it. Siku nitaomba nikutoe out uchague kiwanja kizuri ili niikujue vyema.Ohoooo nimejikuta moyo unamelt kwa furaha...kumbe watu mnasoma watu kimya kimya ee loh..
Thanks for the compliment ndugu yangu
😘😘😘😘
Siku yangu inaendelea kushine👏👏🧚♀️🧚♀️
Ila master kauzu sana huyu😆
Tobaaaaaah mweeeeh mapenzi yananipa uchizi wallah,. Naropoka hovyoooh tyuuuh.
Hahahahaha.......Aiseeeeee!!
Tumbo la uzazi linageuka nini?
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
Umeanza nongwa shem! Kwanza niliambiwa mara moja kwa mwaka, hivi mmesahau eeh!
cocasticTobaaaaaah mweeeeh mapenzi yananipa uchizi wallah,. Naropoka hovyoooh tyuuuh.
Tuendelee tu kuitana mkuu, au sio mzee!
Toka juu huko nimejizuia kucomment ila hapa nimeshindwaa.. Nimecheka vibayaaa..
Sent using Jamii Forums mobile app