Ahsanteeeeeh broooh, nimekuelewa vizuri kabisaaah, .Jah akuzidishie hekima na busara zaidi, ili nipate kufaidika.Dgo umezama Sana eeh nakushauri nenda 50/50 sisi wanaume sio Kama unavodhani ili in case likija la kutokea usiyumbe na kwenye masomo
Unadhan utan baaas, wee hiyo picha ya kuombea mkopo bank kabisaaa.[emoji23][emoji23][emoji23] Mdogo wangu[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7] usinivimbishe bichwa basiiii....
Nipo tayari😍Kaa mkao wa kumuona sasa,
Ahsante mdogo wangu😍😍😘😘😘Unadhan utan baaas, wee hiyo picha ya kuombea mkopo bank kabisaaa.
Kumbe upo Bupandagila nkoi!Ndiyo. Njoo hapa Bupandagila High School utanikuta napiga chaki mkuu.
Nzūgū dūlye magugulu nkoyi [emoji16][emoji16][emoji16]
Inbox nakutupia photo ya shemelaaashNipo tayari[emoji7]
Ahsante mdogo wangu[emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji8]
Jaman hata sijui ni nani aliyeandika hapo huwezi amini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka nusu nife wallah,. Kumbe na wee n mpana hivi? Hapan skuwezi mie lol.
Embu ngoja nifungue pm...Inbox nakutupia photo ya shemelaaash
Uwe na Amani mdogo wangu..basi narudi utotoni kuanzia leo (najua ulichomaanisha)
[emoji23]basi nisamehe, i just wanted to make you happy , siku hizi umekua serious mno nikaona nikuchokoze ila nisamehe[emoji1374]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwee nilijua tu lazima Espy na Heaven Sent watakuharibu na hilo neno! Usiwaige jamani ma mkubwa hilo neno halikufai kabisaaa!
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]View attachment 1649552
Kakudanganya huyo..Kumbe upo Bupandagila nkoi!
Hayo maeneo nayafahamu kuanzia mkula, sapiwi, igegu, dutwa, mwakibuga, nyakabindi, diana, oldmaswa hadi somanda huko.
Sawa nkoi ntakuja kula amagugulu ga mandege na nduhlu[emoji3][emoji3]
Nan aandike akati ni wee hapo lolJaman hata sijui ni nani aliyeandika hapo huwezi amini
Fungua tyuuu ccEmbu ngoja nifungue pm...
Nasubiri kipenzi changuFungua tyuuu cc
Mkuu mbona unapenda kuwa mwanamke ilihali wewe ni mwanaumeRaha ya nyumba mwanaume, wacha nikutunze,
Nyumba yetu tuipambe, huko nyuma tulishindiaga mabwende,
Karanga na makande, kuku ugali dona sembeee,
Usinune kwa maneno ya majirani wanoko, hawaishi longolongo,
Vimaneno km viroboto, wanakesha wakiomba unichapege mkong'oto,
Jamani sielew babeeh juaaaa, ukimuona furaha tele moyoni,
Nikomuona anatabasamu usoni.
NAOMBA UNIROGE ×2
kwani mapenzi matamuuuuuuh.
NAOMBA UNIROGE ×2.
mjanja wa cocastieeeeeeeeeeeh. View attachment 1649575
Wee niache me nifurahie maprnzi, yaan saiv hata sisikii sioni.Mkuu mbona unapenda kuwa mwanamke ilihali wewe ni mwanaume
Hahaa kumbe ni muongo!Kakudanganya huyo..
Nshakutumia tayarNasubiri kipenzi changu