Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Hamna mnywaji sasa 🙂🙂Sioni bia hapa
Hamna mnywaji sasa 🙂🙂Sioni bia hapa
We ulisikia wapi eti![]()


umeandika hapo baada ya kuona ugwaduugwadu wa maembeKwenye sherehe ndugu..Wapi Bobu
Nimeandika tu mkuu..umeandika hapo baada ya kuona ugwaduugwadu wa maembe
Nikuletee maembe kutoka kona za mto Zambezi?Nimeandika tu mkuu..
Leta kula kitu mkuu kasoro sumuNikuletee maembe kutoka kona za mto Zambezi?
Mi naona nimechelewa nimekuta imefutwa. Chakorii sikubali!Mmmh, ungenitag pekee yangu ,ningevimbaje humu
Kwani ile avatar unayoipenda ya muigizaji ndio hy?Badilisha kwanza avatar SYB ndipo tuzungumze![]()
Ewaaaaa...eheee ulikuwa unasemaje vileee🤓🤓Tayari![]()
HahahahaEwaaaaa...eheee ulikuwa unasemaje vileee![]()
Sisi hiyo rafiki yangu kipenzi..yule hata kuchangiaga jukwaani hachangiiKwani ile avatar unayoipenda ya muigizaji ndio hy?
Ooh halafu nimegundua wasiochangia humu ndio wanabeba watoto wazuri,wanapendwaSisi hiyo rafiki yangu kipenzi..yule hata kuchangiaga jukwaani hachangii
Wee usiniambie kipenzi changu rafiki 😜😜Ooh halafu nimegundua wasiochangia humu ndio wanabeba watoto wazuri,wanapendwa
Sie wapiga kelele ,twala kwa macho