Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe inayoluhusu ni sendoff harusi ni yabwana harusi..nikikuoa mimi tunaanzisha zote mbili, unawapiga kwenye sendoff mimi nawapiga kwenye harusii..

Hapa nina card 9 za michango aisee sijui namalizana nazo vipi
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…yani mchaga na pesa!!ni balaa mnambinu sana jaman kha..fanya fanya basi huko utangaze hiyo ndoa tupige fweza mwanangu
 
Mmmh...kwa unene huu unataka ninenepe niende wapi mkuu?


Sikupwai/hunipwai/hatupwayani ndugu


Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
πŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈ

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Habari ya huko ulipo lakini.vipi jumatatu yako..siku yako ilikuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…