linahbaby
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 1,087
- 3,084
ComingNjoo PM
We dada wewe😁😁
Mok kimataifaHaya tuwakilishe vyema kimataifa

Ipeperushe bendera vizuri kama feni mbovu😅😅😅Mok kimataifa![]()
Aina shida nayo ina gharama zake mkuuYeah!!najua bei yake mkuu
Ila fomu ya jimbo wajumbe siyo watu wazuri
Nataka nichukue fomu ya kuwania urais nichukue nchi mazima na viunga vyake

Wazee wa fursa sasa😁😁Yeah!!najua bei yake mkuu
Ila fomu ya jimbo wajumbe siyo watu wazuri
Nataka nichukue fomu ya kuwania urais nichukue nchi mazima na viunga vyake
ItakuwaItakuwa kanusa kitu hyoo
Poa tu kwani shi ngapi/bei gani bhanaAina shida nayo ina gharama zake mkuu![]()

ItakuwaItakuwa
Wa?Water wa fursa sasa![]()

MmmhWewe hmn kbsaaa
Mmmh, acha wengine wachukue wenye hela za fomu
Nikajua apeperushe kiuno kama feni mbovuIpeperushe bendera vizuri kama feni mbovu![]()

Rafiki yangu asikutese bila sababu ya msingi.piga chini😅Mmmh
Hawa watakuwa waumini wa gwaji wana mafunzo hatariWazee wa fursa sasa![]()



Niachie nchi mkuuMmmh, acha wengine wachukue wenye hela za fomu
Poa tu kwani shi ngapi/bei gani bhana
Laki si pesa milioni hela ya chai![]()



Laki tano tu mkuu hela ya sodaHata kama milioni hela ya bia mimi natoa tuLaki tano tu mkuu hela ya soda
We nae eee huoni kama nimetumia tafsida amaNikajua apeperushe kiuno kama feni mbovu
Kumbe apeperushe bendera![]()