yeah we songa tu mbele kama injili tenda wema nenda zako usisubiri fadhila
Kuna msemo mmoja niliuona unapostiwa sana status eti, "Ushawahi kutenda wema ila ukatendewa jambo hilo hadi ukakosa nguvu za kwenda zako" haki nilicheka.
yeah we songa tu mbele kama injili tenda wema nenda zako usisubiri fadhila
Kuna msemo mmoja niliuona unapostiwa sana status eti, "Ushawahi kutenda wema ila ukatendewa jambo hilo hadi ukakosa nguvu za kwenda zako" haki nilicheka.
Tofautisha kupenda kupendwa na kuwa na matarajio makubwa kwa mtu unaempenda. Inshort hakuna binadamu asopenda kupendwa na ni raha sanaaa kupendwa.
Wewe unapenda kupendwa ila unaogopa kuumizwa na unaempenda ila hakupendi.