Ah mie nilishasema siwezi kugombana na mtu kisa vitu kama siasa au mpira! Ni ujinga wa kiwango cha sgr!Shida ni pale watu hadi wanazichapa
Haki Kuna watu Wana matumizi mabovu ya nguvu zao
hongera kwa kumpoteza rafiki muhafidhina
We acha tu! Yaani unene unatufanya tushindwe kufaidi vitu vizuri!
Shukuru uko mrefu my dear! Kenyewe kale ni ka chei chei halafu kanafukia balaa!
Hapana naomba nikupinge, naweza kuwa mpinzani lakini siasa za Magu zikanifurahisha. Wengine hatupo kivyama bali tunaangalia mgombea ana uwezo gani.Jamani daddy kwani hamjui kuwa CCM ni Magu na Magu ni CCM? Na hii ndiyo sababu kwanini ni ngumu kumuamini mtu anayesema eti yeye siyo CCM ila anampenda Magu au mtu aseme yeye ni CCM ila hampendi Magu technically hilo haliwezekani!
Japo ninyi wenyewe mnaosema hivyo mnaweza msilijue hilo lakini huo ndiyo ukweli! Tunaposema haya tunaonekana tunaropoka tu lakini time will tell!
Shem namjali mdogo wako, ujuwe love ndio kila kitu duniani eeh!!Watu na Watu wao...
Niko poa sana, tena zaidi baada ya kuona sura yako humu!!Umeshidaje babaa?
Daah hayo ni matumizi mabaya sana ya mwili ulionao
Mimi kunenepa siwezi maana ni mvivu kula hata nikila nakula kidogo sana
Ah mie nilishasema siwezi kugombana na mtu kisa vitu kama siasa au mpira! Ni ujinga wa kiwango cha sgr!
Nimeona nianze kula Mara kwa Mara labda.Daah hayo ni matumizi mabaya sana ya mwili ulionao
Uvyama unaharibu watu.Hapana naomba nikupinge, naweza kuwa mpinzani lakini siasa za Magu zikanifurahisha. Wengine hatupo kivyama bali tunaangalia mgombea ana uwezo gani.
Nilikuwa pro Slaa, akaja Lowasa sikufurahia, leo naona Magu is doing well na sitaki kuangalia chama coz kinafanya watu wanakuwa kama walikunywa maji ya benders(wafia vyama)
Hapana naomba nikupinge, naweza kuwa mpinzani lakini siasa za Magu zikanifurahisha. Wengine hatupo kivyama bali tunaangalia mgombea ana uwezo gani.
Nilikuwa pro Slaa, akaja Lowasa sikufurahia, leo naona Magu is doing well na sitaki kuangalia chama coz kinafanya watu wanakuwa kama walikunywa maji ya benders(wafia vyama)
Navuta picha jukwaa la siasa watu wangekuwa wanakutana live.
Kungekuwa na mtanange zaidi hata ya WWE
Dah HongeraNimeona nianze kula Mara kwa Mara labda.
Ila hii ya kula chakula kingi nimeshashindwa.
Mwishowe utasema nikuletee na wafanyakazi , mbegu I'm not sure pale kilimo uyole b mkubwa anachukuaga zile nzuri nitauliza miundombinu ikoje maana wanajigawaniaga tuMali za CCM
Niombe radhi haraka tafadhali.. nakuomba..Sister unaona wivu? Inabidi tukutafutie msukuma mmoja mshamba mshamba kama SHIMBA YA BUYENZE
Wivu sina lakini...Sister unaona wivu? Inabidi tukutafutie msukuma mmoja mshamba mshamba kama SHIMBA YA BUYENZE
Kwambaaaaaaaaaa??????Cha upepo
Mimi ningekuwa mfupi sijui ningekuwaje
Ila unene ni hasara,kuna ndugu zangu wanapambana nao hapa yaani unene umekuwa Vita
Unene ni nini etiiiii???Cha upepo
Mimi ningekuwa mfupi sijui ningekuwaje
Ila unene ni hasara,kuna ndugu zangu wanapambana nao hapa yaani unene umekuwa Vita
Mpaka gego la mwisho eeeh!? Please usiwe kama huyo mpenda mafurushi. Asikufanye ukaachana na upole wako
Mjali tu Shem.. nafurahi sana kuona hivyo.Shem namjali mdogo wako, ujuwe love ndio kila kitu duniani eeh!!