Leo najaribu kujipikilisha ndizi. Hapa nakata kata nyanya na vitunguu halafu navimiksi vyote humo humo na maviungo mengine vitajuana vyenyewe. Makiseo na Espy leo msicheze mbali wanangu
Jaribu babe, sema shida dawa zinaharibu nywele ujue ukiweka unaeza kaa nazo kwa muda tu itakulazimu unyoe kama mimi nishanyoa kabisa mana nywele ziliisha zote
Jaribu babe, sema shida dawa zinaharibu nywele ujue ukiweka unaeza kaa nazo kwa muda tu itakulazimu unyoe kama mimi nishanyoa kabisa mana nywele ziliisha zote
Hao jamaa wa mambo ya urembo hawana tofauti na ma trainer hawa majamaa wa issue za gym ...
Ndio maana mimi binafsi ikija katika suala la ndoa hua naona ndoa ni kama kamari..
Kama huyo niliyemsemea kwa mazingira yale ni ngumu sana mwanamke kutoka salama, hata kama jamaa asipotaka mzigo lakini kuna possibility kubwa mwanamke akabaki na matamanio nae n hivi jamaa wanajikutaga wanajua sana ku care.