James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 9,529
- 16,233
Like niliyokupa ni kwa ajili ya hiyo nyama iliyofanya mate kujaa mdomoniLeo najaribu kujipikilisha ndizi. Hapa nakata kata nyanya na vitunguu halafu navimiksi vyote humo humo na maviungo mengine vitajuana vyenyewe. Makiseo na Espy leo msicheze mbali wanangu [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1619043
Ndizi zilitoka kama ugali. Wala sikushiba aisee [emoji16][emoji16][emoji16]Like niliyokupa ni kwa ajili ya hiyo nyama iliyofanya mate kujaa mdomoni
Jaribu babe, sema shida dawa zinaharibu nywele ujue ukiweka unaeza kaa nazo kwa muda tu itakulazimu unyoe kama mimi nishanyoa kabisa mana nywele ziliisha zote[emoji7][emoji7][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Na Mimi ngoja nijaribu hii style.
Nimeipenda sana japo ugumu unakuja kwenye kutia dawa nywele yangu
Dawa inaharibu sana nyweleJaribu babe, sema shida dawa zinaharibu nywele ujue ukiweka unaeza kaa nazo kwa muda tu itakulazimu unyoe kama mimi nishanyoa kabisa mana nywele ziliisha zote
Kwahiyo mkuu tusioe tu mkuu maanaa ni karaha, ila ngoja nioe tu nitajua nitambana wapi au vipiHao jamaa wa mambo ya urembo hawana tofauti na ma trainer hawa majamaa wa issue za gym ...
Ndio maana mimi binafsi ikija katika suala la ndoa hua naona ndoa ni kama kamari..
Kama huyo niliyemsemea kwa mazingira yale ni ngumu sana mwanamke kutoka salama, hata kama jamaa asipotaka mzigo lakini kuna possibility kubwa mwanamke akabaki na matamanio nae n hivi jamaa wanajikutaga wanajua sana ku care.
Mitano tena, maendeleo hayana chama
Tatizo walimwengu, dunia na vitu vingine ni kama paradiseNikitembea kote duniani,
Ndege huimba nawasikia,
Milima hupendeza macho sana,
Upepo nao nafurahia,
Roho yangu na Ikuimbie
Jinsi wewe Ulivyo mkuu.View attachment 1619062
Unakunywa safari jirani [emoji481] ukatoa na lebo [emoji1787][emoji1787] mwanamke mgumu wewe [emoji13][emoji13]
Safiiiii ccm tena mitano
Mbona hujaumwa sasaUgonjwa wangu
Nyie ndiyo mnakata miti hovyo hamtunzi mazingira, wakati Mtwara gas imejaa.
Kwahiyo mvinyo ni halali kwa matumizi dini inakataza lakiniShika neno tenda nenoView attachment 1619295
Misitu haijawahi kuishaNyie ndiyo mnakata miti hovyo hamtunzi mazingira, wakati Mtwara gas imejaa.
Milima hupendeza macho sanaTatizo walimwengu, dunia na vitu vingine ni kama paradise
Pole kwa msiba. Mpendwa wako apate pumziko jema [emoji1545][emoji1545][emoji1545]Najua ya kwamba Waweza kufanya mambo yote
Na makusudi yako hayawezi kuzuiliwa.
Mungu unayeishi,Alpha na Omega
Weee ni mkuu Sana
Moyo wangu unavuja damu[emoji174] ila kwako lipo tumaini[emoji119][emoji24]View attachment 1619377