Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
I did....ila siunajua dawa ya mtu mbishi 😃😃Kumbe ulimpa taarifa kabisa ha ha
Mimi napenda mtoto mbishi kama huyo au dogo wangu, wakushaipata pata wanakuwa na tendency ya kuwa wabunifuI did....ila siunajua dawa ya mtu mbishi![]()

Kabisa 🤝🏾🤝🏾 huwa akili zinawachangamka sana!!Mimi napenda mtoto mbishi kama huyo au dogo wangu, wakushaipata pata wanakuwa na tendency ya kuwa wabunifu![]()
Next time ukimwambia leo kunyoa, utaona pilika pilika zake ha ha...mimi kama negative experiences siyo mbaya namuachia dogo ajitusue mwenyewe afahamu vizuri dunia inavyoendaKabisahuwa akili zinawachangamka sana!!
Mi huwa nafurahia sana ile moment ya "What did I tell you??"
Ya ule mchongo wako?Wedding timeView attachment 1616708
Yes mzee leo ndio mazimaYa ule mchongo wako?

Wanga tunasema wape mwaka mmoja tuuYes mzee leo ndio mazima![]()


, waombee baraka aisee nakuombea na wewe mawazo ya kishetani ya kutaka kumla mke wa mtu uachane nayo...si unamuona alivyopendeza??Dah kapendeza Sana na alinitext Jana akapendekeza nguo ipi nivae sema siwezi kumla mke wa jamaa sio poa kabisa,Wanga tunasema wape mwaka mmoja tuu, waombee baraka aisee nakuombea na wewe mawazo ya kishetani ya kutaka kumla mke wa mtu uachane nayo...si unamuona alivyopendeza??
Mbona kama hapo ushindi kwako uko kama 84%Dah kapendeza Sana na alinitext Jana akapendekeza nguo ipi nivae sema siwezi kumla mke wa jamaa sio poa kabisa,
Ushindi upo mkuu sema nimeamua tu toka moyoni kuheshimu ndoa yakeMbona kama hapo ushindi kwako uko kama 84%
Safi sana 👊👊👊👊 maana hawa madogo usipowakazia wanaweza kuendesha watu wakubwa kama vile wao ndo wenye mamlaka. Haswa wakikutana na watu wapole kama huyo dada yake dogo....eti ntakunyima vitu 🤣🤣🤣 kalikuwa kanajiona kaboooooss kenyewe.Next time ukimwambia leo kunyoa, utaona pilika pilika zake ha ha...mimi kama negative experiences siyo mbaya namuachia dogo ajitusue mwenyewe afahamu vizuri dunia inavyoenda
mf. Dogo nilimwambia hamna kuangalia TV weekdays, akirudi anamkazia dada anaangalia dada hasemi, hiyo siku nimerudi home kabla hajarudi shule nikapaki gari mbali kabisa na home asijue nipo home ili akumbane na consequences za tabia zake...karudi anamuendesha kama yeye ndie baba, kawasha tv, dada akimuambia zima tv, anamjibu mbovu afu anamwambia ukimwambia baba nitakunyima hichi, kile...
nikatoka room alikuwa mdogo balaa nikachomoa card ya king'amuzi miezi 3, nikampangia na kazi za kufanya na makofi akala, siku hizi yuko maki i kweli na maelekezo
Wapi hapa dear pasafi hivo


Usipojikaza sana utakuja kumla tu. Mungu na AkusaidieUshindi upo mkuu sema nimeamua tu toka moyoni kuheshimu ndoa yake


