Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Hata Mimi nimekuona
Mchoraji wewe
Hata Mimi nimekuona
Mbona nimepost picha mbili humu baba la baba![]()
Wewe jilipueeeeHajaweka maelezo vizuri
Uhakika lakini lazima nifanye uchaguzi..
Halafu kanaonekana kapooole, sijui huu utundu katoa wapi..Katoto kazur kazur
NjooooNakuja pm unitolee huo wino
Jilipueeeee
Haha utundu nyuma ya keyboard tu 😂😂Halafu kanaonekana kapooole, sijui huu utundu katoa wapi..
Anataka fullHajaweka maelezo vizuri


Usijali kabisaaNipigie kura nishinde maana kuna kajielection.
Ngoja niwazeUsijali hutakosa trust me
Haha'..!!
Kioo hakidanganyi kweli wewe kibonge nwenzangu.!!
Hivi Depal wewe ni wa kunilaghai niendelee kukula chips kumbe mwenzangu model.!!
you're so sweet mumie.!! Hongera sana!!
Hata nikipiga sahivi ni lazima nifanye kama naiweka WhatsApp ili nifiche uso then napiga kitu cha screenshot ' nisije siku kushikwa mkono na mwana jf barabarani 😂Aanh piga ya saivi bana muamala tayari uko njiani
Tuma hutakosa am sure