Selfika na JF: Snap it. Show it

Closely following.........!
 
naisubiria pia😊
 
Sistahili hata kugusa kama za viatu vyako.
Nahitaji kujifunza kutoka kwako
Weee usitake nianze kuandika magazeti usiku huu... Kazi yako ni njema sana; na huwa najifunza mengi sana kutoka kwako hata kama huwa sikuquote labda.
Bidii yako isipungue wala kukoma.

But all in all; naamini kila mmoja wetu ana cha kujifunza kutoka kwa mwenzie.
 

Hapana sipo Dom

Naona unanipachika cheo kikubwa namna hiyo Cha kutembea na mwalimu

Niwe nacho niringe
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„Hakuna kinachoshindikana mpendwa...ktk pitapita yake hapo ottu aweza kukuita ujiunge na kikosi 😁🀣🀣

Halafu niko hapa nasubiria hizo mbinu ujue kabla sijaingia kikaoni na Bwana mkubwa usiku huu😊
 
Amina mtumishi unatema Sana madini # nitazingatia procedures

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
naisubiria pia
Mnasikiliza sound zangu?


1.Weka Neno la MUNGU kwa wingi ndani yako na litumie Neno lake maana halirudi bure
Neno la MUNGU ni Mungu Yoh 1:1(b)

Yeye mwenyewe alisema
"Ninyi mkikaa ndani yangu,na maneno yangu yakikaa ndani yenu,ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa"
You 15:7

"Maana Kama vile mvua ishukavyo,na theluji,kutoka mbinguni,wala hairudi huko;Bali huinywesha ardhi na kuzalisha na kuichipuza,ikampa mtu apandaye mbegu,na mtu alaye chakula;
ndivyo litakavyokuwa neno langu,litokalo katika kinywa changu;halitanirudia bure,bali litatimiza mapenzi yangu
Nalo litafanikiwa katika mambo Yale niliyolituma"
Isaya 55:10

2,Sadaka(sacrifice)
Do not pray empty words..
There is so sacrifice in something that costs you nothing..

Sacrifice inajenga memorial kwa Mungu

Mfano ni Cornelio
Acts 10:3
Sadaka zake zilipiga kelele mbele za Mungu
 
Hahah!
Kwa majira haya wacha niendelee kumsikiliza..kuanza kuzunguka naye kwa kweli bado,naona sijafikia huko .
 
Asanteee mwaya πŸ˜ŠπŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…