Selfika na JF: Snap it. Show it

Closely following.........!
 
naisubiria pia😊
 
Sistahili hata kugusa kama za viatu vyako.
Nahitaji kujifunza kutoka kwako[emoji4]
Weee usitake nianze kuandika magazeti usiku huu... Kazi yako ni njema sana; na huwa najifunza mengi sana kutoka kwako hata kama huwa sikuquote labda.
Bidii yako isipungue wala kukoma.

But all in all; naamini kila mmoja wetu ana cha kujifunza kutoka kwa mwenzie.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana sipo Dom

Naona unanipachika cheo kikubwa namna hiyo Cha kutembea na mwalimu [emoji23][emoji23]
Niwe nacho niringe[emoji1787]
😄😄😄Hakuna kinachoshindikana mpendwa...ktk pitapita yake hapo ottu aweza kukuita ujiunge na kikosi 😁🤣🤣

Halafu niko hapa nasubiria hizo mbinu ujue kabla sijaingia kikaoni na Bwana mkubwa usiku huu😊
 
Amina mtumishi unatema Sana madini # nitazingatia procedures

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
naisubiria pia[emoji4]
Mnasikiliza sound zangu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

1.Weka Neno la MUNGU kwa wingi ndani yako na litumie Neno lake maana halirudi bure
Neno la MUNGU ni Mungu Yoh 1:1(b)

Yeye mwenyewe alisema
"Ninyi mkikaa ndani yangu,na maneno yangu yakikaa ndani yenu,ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa"
You 15:7

"Maana Kama vile mvua ishukavyo,na theluji,kutoka mbinguni,wala hairudi huko;Bali huinywesha ardhi na kuzalisha na kuichipuza,ikampa mtu apandaye mbegu,na mtu alaye chakula;
ndivyo litakavyokuwa neno langu,litokalo katika kinywa changu;halitanirudia bure,bali litatimiza mapenzi yangu
Nalo litafanikiwa katika mambo Yale niliyolituma"
Isaya 55:10

2,Sadaka(sacrifice)
Do not pray empty words..
There is so sacrifice in something that costs you nothing..

Sacrifice inajenga memorial kwa Mungu

Mfano ni Cornelio
Acts 10:3
Sadaka zake zilipiga kelele mbele za Mungu
 
Hahah!
Kwa majira haya wacha niendelee kumsikiliza..kuanza kuzunguka naye kwa kweli bado,naona sijafikia huko .
 
Asanteee mwaya 😊🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…