Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,253
Kongoro kwanza...!
Namuona lite pembeniKongoro kwanza...!View attachment 1590943
Yea anamsindikiza bwana' kongoroNamuona lite pembeni
Mjep Juniour atapita muda si mrefu stay connected😅mkwepu jr naona unapita baba😁😁
Walimu ni hazina ya dunia siku yetu muhimu sana hii ahsante kwa kutukumbuka na kutambua mchango wetu Saint Anne
Kumbe Leo siku yao wacha nimuwish mama yangu labda atanikumbuka ya soda mwakani akistaafu

HahahaKumbe Leo siku yao wacha nimuwish mama yangu labda atanikumbuka ya soda mwakani akistaafu
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Walimu ni hazina ya dunia siku yetu muhimu sana hii ahsante kwa kutukumbuka na kutambua mchango wetu Saint Anne

Chibonge niwekee zile picha zako nzuri nzuri nifurahiNina mpango wa kwenda naye nikakope bank



124
Mbona sijakuona mjep junia 😁😁😁Mjep Juniour atapita muda si mrefu stay connected😅
Weka full basi mrembo