Gallius
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,999
- 8,353
Ndio kaka
Nitakupa jibu kesho Mkuu...
Ndio kaka
I'm glad at least you wrote smth, mnapotea sana!Tuko hapa daddy! We miss you!![]()
![]()
Hapa ni Rehema?Npo Kwenye Sendoff wadada oleweni jamaniView attachment 1589423
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Hapana hapa ukumbi unaitwa Johnson , wew lini mkuu maana naona huyu Dada anaeagwa anajimwambafai sanaHapa ni Rehema?
Naona unaendana na wa RehemaHapana hapa ukumbi unaitwa Johnson , wew lini mkuu maana naona huyu Dada anaeagwa anajimwambafai sana
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app

Aiseee unachelewa mnoooo wambie wazee walete bill ya mahali nilipeNaona unaendana na wa Rehema
Mimi ndio kwanza naingia teku pale kusoma dini![]()
Wazee wenyewe wananiona mdogo wananilea kitotoAiseee unachelewa mnoooo wambie wazee walete bill ya mahali nilipe
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app








Wazee wenyewe wananiona mdogo wananilea kitoto
Kwanza mwenyewe najionaga mdogo mtoto wa mama Mimi
Halafu niondoke kwa mama mwee![]()



aisee Kama umefika 22-27 usisite Sana wazaz hawana Cha kupoteza hapo ni ndoa tu,, nitakuja uyole kutoa mahali 

Hiyo age nishaivuka kitamboaisee Kama umefika 22-27 usisite Sana wazaz hawana Cha kupoteza hapo ni ndoa tu,, nitakuja uyole kutoa mahali
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app





wananisindikiza
Tupo daddie. Mambo mengi ila tunajitahidi hivyo hivyo kucomment mara moja moja.I'm glad at least you wrote smth, mnapotea sana!




Hao wazazi wakatae aisee kimbia chap huo umri the sun is fadedHiyo age nishaivuka kitambo
Nipo kwenye 30's
Nifanyeje sasa kama wananilea hivi,hadi kutoka tu home ni kasheshewananisindikiza
![]()
Wanafanya kwa nia njema.Hao wazazi wakatae aisee kimbia chap huo umri the sun is faded
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app



