Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Mbona unanipa cheo kikubwa sana..ujue mangi ni watawala/waflme wa kichaga enzi hizoNini mangi
Sasa mimi hata kutawalaa moyo wako nimeshindwa


Mbona unanipa cheo kikubwa sana..ujue mangi ni watawala/waflme wa kichaga enzi hizoNini mangi


Weka bana mpendwaaa hatumind kuchonga viazi.Mtachonga viazi akina kaka kwa kusubiri full picture
🤣🤣🤣🤣🤣 haya majani si mazuri ujue😅😅bora tuyapike kama mboga🤣🤣Mbona unanipa cheo kikubwa sana..ujue mangi ni watawala/waflme wa kichaga enzi hizo
Sasa mimi hata kutawalaa moyo wako nimeshindwa![]()
Kaa kwa kutulia naweka mda si mrefuWeka bana mpendwaaa hatumind kuchonga viazi.
Nakunywa vijuice tu hapa....anaenileteaga hayo majani leo naona hajafikahaya majani si mazuri ujue
bora tuyapike kama mboga
![]()
Napenda sana maharage ya nazi.
Sibanduki hapa nasubiri kwa hamu.Kaa kwa kutulia naweka mda si mrefu
Huwa yananoga sana 😋😋Napenda sana maharage ya nazi.
Mimi nigeweka na ndizi ya kuiva pembeni.Huwa yananoga sana 😋😋
Mie 🥑🥑🥑 ndio ninge-enjoy zaidi!Mimi nigeweka na ndizi ya kuiva pembeni.
Yenyewe mixa veveMbona kama umeweka juice ya ukwaju mku![]()
Am way oldskul , only Tupac and before him.1 of my fav 👊👊
"You better let me go the day you need me"
Utasababisha ugomvi pale kwenye geti la kuingilia pm.