Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,864
- 51,622
Utafurahi
Utafurahi
Wakitaifisha huo mzigo na usafiri hata hiyo faida hutaiona tena, fuata sheria tu ndugu yangu, enzi hizi ni mbaya sana kufanya ufisadi kuna mahakama yakeNdio boss ingawa na ujanja ujanja unatakiwa kumaximize profit
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Habari ya leo BossWe njoo usalimie huku
Uwe una nitag basi rafiki..kila mara makosa picha😔😔Hahahaha
Kwa nini ashindwe ataweza tuSema nikitangaza nia, mimi nikikubamba utawezana![]()


Asante kwa ushauri mzuri mkuu Mimi nliacha huo ujanja ujanja awamu hii napiga kihalali kabisa na full docsWakitaifisha huo mzigo na usafiri hata hiyo faida hutaiona tena, fuata sheria tu ndugu yangu, enzi hizi ni mbaya sana kufanya ufisadi kuna mahakama yake
Ooh kumbeHataniweza![]()
Sema pepchiiiiiii
Hahahaha nimeset simu nikituma inakaa dakika moja inafutikaUwe una nitag basi rafiki..kila mara makosa picha😔😔
Usinifanyie hivyo jamani..basi uwe una nitag dakika moja kabla hujaweka 😊😊Hahahaha nimeset simu nikituma inakaa dakika moja inafutika
Inaelekea umependeza sana hivyo ulivyovaa.safi sana🥂🥂Bless hustleView attachment 1566273