Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,672
- 50,991
Jirani unatupia wapi au ndiyo ile siku imefika
Jirani unatupia wapi au ndiyo ile siku imefika
Kihome home jirani..ile siku ndo leo jirani na tunakaribia kumaliza..Jirani unatupia wapi au ndiyo ile siku imefika
Nakutumia lokesheni rafiki tuikate kiu😊😊
Hahahah ushakuwa mshenga tayari uje nyumbani sasa .

Hahahaha, hebu Fanya hivyo tuoneNakutumia lokesheni rafiki tuikate kiu![]()
Kihome home jirani..ile siku ndo leo jirani na tunakaribia kumaliza..
Kwa bahati mbaya kesho naamsha jirani![]()
Ngoja kwanzaJirani bwana acha mambo yako..fanya tule ubwabwa😊😊😊huko
Jiandae fasta
Nini kimetokea tena jirani![]()
![]()
![]()
![]()
Ngoja kwanza
Acha nifanye kazi ya upatanishi na muungano nitapata thawabu nyingi kwe Mwenyezi MunguJirani bwana acha mambo yako..fanya tule ubwabwahuko

Kha huo upatanishi huoAcha nifanye kazi ya upatanishi na muungano nitapata thawabu nyingi kwe Mwenyezi Mungu![]()

Unaniuzi ujue...unaleta mambo gani sasa nitaka kuitwa wifi bhana😅😅😅Acha nifanye kazi ya upatanishi na muungano nitapata thawabu nyingi kwe Mwenyezi Mungu![]()
Nauharibu basiKha huo upatanishi huo![]()

Unataka uitwe wifi, subiri utaitwa muda sio mrefuUnaniuzi ujue...unaleta mambo gani sasa nitaka kuitwa wifi bhana![]()


Naisubiria kwa hamu jiraniUnataka uitwe wifi, subiri utaitwa muda sio mrefu![]()
Chaguo ni lako aiseeNauharibu basi![]()
NichagulieChaguo ni lako aisee