Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
NakusubirNakuja jirani
NakusubirNakuja jirani
Pouwa jirani nipo hewani nakuchekiNakusubir
OkPouwa jirani nipo hewani nakucheki
Mmmh wenye bahati zao wanaitwa iniboksiJirani njoo iniboksi...nimetua pande hizi leo...
Leo niko kipande hiki jirani nabadilisha hali ya hewa
Nakusubir
.....Nakuja jirani
Halafu fala moja linatoka huko lilikotoka na kuanza kubwabwaja eti binadamu wote ni sawa. Sawa mai futiMmmh wenye bahati zao wanaitwa iniboksi



Hahahaha ,kabisa Mkuu ,hivi we ushawahi kuitwa iniboksi ? Hizo fursa huwa kwa watu maalum tu humu JFHalafu fala moja linatoka huko lilikotoka na kuanza kubwabwaja eti binadamu wote ni sawa. Sawa mai futi![]()
Sijawahi kuitwa inbox mkuu tena binti kabisa akisema amefika sehemu niliyopo. Na naamini haitakaa itokee. Hii ni kwa watu spesheli tu ama wenye mshiko kuzidi ule wa Cobalt au sifa zingine ambazo wengine hatuna.Hahahaha ,kabisa Mkuu ,hivi we ushawahi kuitwa iniboksi ? Hizo fursa huwa kwa watu maalum tu humu JF
Mm na wewe tugonge likes tu
Sent using Jamii Forums mobile app


HahahahaSijawahi kuitwa inbox mkuu tena binti kabisa akisema amefika sehemu niliyopo. Na naamini haitakaa itokee. Hii ni kwa watu spesheli tu ama wenye mshiko kuzidi ule wa Cobalt au sifa zingine ambazo wengine hatuna.
Jael na Makiseo hebu jitahidini mnikaribishe inbox hata kama ni kwa kuzuga tu ili nibusti konfidensi yangu pulizi![]()
Wewe unajua sehemu ya kunipata 😊😊😊🧚♀️🧚♀️🧚♀️Mmmh wenye bahati zao wanaitwa iniboksi
Wallah mtu chake una makusudi 😅😅.....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimekosa la kuongea haki tenaHalafu fala moja linatoka huko lilikotoka na kuanza kubwabwaja eti binadamu wote ni sawa. Sawa mai futi![]()
Big no.Sijawahi kuitwa inbox mkuu tena binti kabisa akisema amefika sehemu niliyopo. Na naamini haitakaa itokee. Hii ni kwa watu spesheli tu ama wenye mshiko kuzidi ule wa Cobalt au sifa zingine ambazo wengine hatuna.
Jael na Makiseo hebu jitahidini mnikaribishe inbox hata kama ni kwa kuzuga tu ili nibusti konfidensi yangu pulizi![]()
Hahahaha, we usije sababisha muitwa iniboksi akanipigaWewe unajua sehemu ya kunipata![]()
Thanks baby love for the birthday wishes
Shukrani MkuuOlder than yesterday...younger than tomorrow.. Happy born day to him