Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_1683.jpg
 
Sijawahi kuitwa inbox mkuu tena binti kabisa akisema amefika sehemu niliyopo. Na naamini haitakaa itokee. Hii ni kwa watu spesheli tu ama wenye mshiko kuzidi ule wa Cobalt au sifa zingine ambazo wengine hatuna.

Jael na Makiseo hebu jitahidini mnikaribishe inbox hata kama ni kwa kuzuga tu ili nibusti konfidensi yangu pulizi
We pm zangu unazichunia halafu unasema nini hapa!!!
Sasa hujasema ulipo tukifika tutajuaje ndiko uliko?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kuitwa inbox mkuu tena binti kabisa akisema amefika sehemu niliyopo. Na naamini haitakaa itokee. Hii ni kwa watu spesheli tu ama wenye mshiko kuzidi ule wa Cobalt au sifa zingine ambazo wengine hatuna.

Jael na Makiseo hebu jitahidini mnikaribishe inbox hata kama ni kwa kuzuga tu ili nibusti konfidensi yangu pulizi
@Jael Makiseo Zoë hawa watu wanakuelewa sana si unawauziaga matunda hadi inbox, nakuaminia boss najua huwezi kukwama,
 
Back
Top Bottom