Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa Ruvu Lile la watoto walaini
Weee nani kasema?? Hayo maneno tu hata mimi nilikuwa nayasikia kabla sijaenda ila nilivyoenda nilichokikuta kule mbona nililaani walikuwa wanasema oohh ile kambi ya wagonjwa kwahiyo ni mwendo wa bata tu sasa kwa taarifa yako hao wagonjwa walikuwa wanatengwa ndiyo wanapewa kazi rahisi wengine wote doso kama kawa kama dawa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…